Kanitumia picha zake, nitafungwa na sheria mpya?

Kanitumia picha zake, nitafungwa na sheria mpya?

mtoto mdogo

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
501
Reaction score
130
Habarini,

Sina mwanamke nampenda sana juzi tuko katika chat whatsap sio kanitumia picha zake zilizokatazwa sheria mpya sasa sijui anajiaminije. Je huo ni upendo wa kweli? Ni kweli ananitumia mimi tu au na wengine pia? Sheria mpya itatubana.

Naombeni ushauri
 
aisee....! kazi kweli kweli.......!
kilichokuchanganya ni kwamba hizo picha km atakuwa anatumia na wengine au sheria juu ya picha hizo...!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kuwa na amani mkulu bado hajasaini ili zianze kutumika.
 
Mamaaweeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!! mmmh!!!!!!
Wewe ziangalie ukichoka delete ucje ishia jela, sina hela yakukulipia dhamana.
 
Tehe tehe tufanye tuamin weka picha tutakupa ushaur sasa
 
Back
Top Bottom