Recent content by robbins emmy

  1. R

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    Hawezi kukujib achana nae abaki na upumbavu wake awashike wajinga tu
  2. R

    Rai ya Alphonce Mawazo kwa wana CHADEMA

    Ubarikiwe kamanda!! Maneno ya busara hayo
  3. R

    Waarabu wa Didia wamshangaza Kamanda Mawazo

    Hahaaaa you made my day
  4. R

    Kilio cha Mlalahoi: Kupanda kwa bei ya umeme wanasiasa mko wapi?

    BRN Big Risult Now....we hujui?? Alafu mnamshabikia ZZK atuharibie motion ya kuwaletea watazania ahueni katika maisha. Kwa uzembe huu wa ushabiki wa kipuuzi hadi tufike 2015 ambapo kutakuwa na BRRN Big Risult Right Now Tsh10000 itanunua only 2Units za umeme. Watanzania tuache uzembe CCM must go...
  5. R

    Msaada kwa wale wanaotumia kin'gamuzu cha zuku.

    Wanadanganya, digitek hawa walinipamba na kwa dodoma hapa ndo scratch ka cd mbovu
  6. R

    Govt of Tanzania VS Agha Khan

    Serana Hotels???
  7. R

    Wenje 'amtolea uvivu' Naibu Spika wa Bunge

    Too bad ni kwamba mim naishi jimboni kwake, yani kwa miezi miwili niliyokaa hapa nishakomboa watu zaidi ya mia mbili pasi kufanya mkutano wa hadhara!!! Yeye atafute kazi nyingine ya kufanya huku hana lake tena
  8. R

    Tabora wampokea kwa shangwe Dr. Slaa

    Dr jana umesababisha vilivyo!! Tupo nyuma yako
  9. R

    Dr. Slaa ni Jembe

    Dr hilo halina ubishi,wewe ni wa kitofauti.
  10. R

    Zitto Kabwe Adai kwa Kiapo Hana Majina ya Wenye Akaunti Uswisi - AG

    Yan mm nadhan nakahate zaid ya sana....mbabaishaji wa hali ya juu, jifunzeni sasa mkiona watu wa karibu na na mtu fulani wanaanza kumchukia huyo mtu, basi huyo mtu ana mapungufu Robbins
  11. R

    Lema: Zitto Nipe Majina ya wezi walioficha pesa Uswisi niwataje, kama wewe unaogopa kuwataja.

    Sidhani kama kuna mtu mwenye haja ya kumjua kilaza kama wewe! Mgumu kuelewa sijui ulikuia na uwezo gani wa kumeza tangu shule hadi chuo??!! Presentation ya Lema ilikua inaeleweka sana na kwa akili ya kawaida huwezi kuitafsiri kipuuzi kama ulivyofanya. Poor you!!
  12. R

    Lema: Zitto Nipe Majina ya wezi walioficha pesa Uswisi niwataje, kama wewe unaogopa kuwataja.

    AG kashamuumbua huyo ZZK wenu na subiri achukuliwe hatua za kisheria. Nyinyi mnaomlamba miguu hAta kwenye mambo ya kipuuzi mmeumbuka. Lema ni mtu muwaz na asiependa sifa za kijinga.
  13. R

    Mipango hatari ya Mwigulu na Emmanuel Nchimbi dhidi ya CHADEMA,wahusika toeni ufafanuzi kuhusu hili

    Kwa akili za kawaida wale wanaoitwa majambazi ukiwaangalia inaingia akilini? Wale wameokotwa tuu hukoo nchimbi anatudanganya kama watoto!! Kuliko niue ndo nipate utajiri bora nife masikini
  14. R

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Chadema itasambaratika soon!! Mtasubiri sana
Back
Top Bottom