Hivi Tanzania hatuwezi kuanzisha utalii wa unafiki!?? Yani wageni wake waone tulivyo wanafiki!?? Kuna haja ya kupanua wigo wa mapato Hasa hili eneo la unafiki
Kweli tusiichezee Dunia!? John Komba wakati anaimba nyimbo za kuwatukana na kuwazodoa wapinzani hakikua nn kitaikuta familia yake,akidhani hiyo ndio Dunia atakayoishi yeye na familia yake!!! !! Naomba hili liwe fundisho!! Wewe ua Teka lakin Saa yaja!!
" Nawavimbe wapasuke,waacheni waandamane...
Elimu elimu elimu exposure exposure exposure!!!!!! Angekuwa ni kutoka Nigeria au Senegal angekuwa next level ila huyu mpe miaka mitatu utamkuta buguruni au keko au manzese ni suala la muda!! Just hold on
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.