Recent content by roadmaster

  1. R

    Mnaotaka kuingia USA pitieni BAHAMAS 🇧🇸

    Ukishindwa kutafuta maisha hapa tz!!! Usijidanganye popote wewe Blai!!! Watu wapi USA mwaka wa 20 wanaona aibu kurudi!!!asikudanganye mtu!??
  2. R

    Kila kitu kinatushinda; basi tupate watu kutoka nje wawekeze katika Bunge

    Kama TAZARA imetushinda, bandari imetushinda, mwendokasi umetushinda; kwanini tusitafute mwekezaji alichukue bunge!? Inawezekkana wabunge wawekezaji wakawa na tija.
  3. R

    Timu ya yanga inachezesha wachezaji wengi wa nje kuliko wazawa

    Kiukweli mtoa,mada ana hoja!! Huwezi kuijenga timu nzuri ya taifa ikiwa vilabu vikubwa vinavyoshirik mashindano makubwa vina foreigners!!! Ilipaswa kuwe na Sheria wagen wawe at least 40 au 50 percent!! Huo ndio ukweli !! Sasa Yanga utafikiri ni combination ya wachezaji wa afrika
  4. R

    Picha: Kanda za Juu Kusini endeleeni kushabikia mbio za mabasi ni raha sana

    Nilisha andika na kuandika !! Kweli kama Kuna watu washamba kwenye mabasi basi ni huku nyanda za juu kusini!! Kwa kifupi hawajielewi!!! Nawasihi endeleeni kutukuta mbio za mabasi
  5. R

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Dawa ya moto ni moto au dawa ya mtu mshenzi ninkuwa mshenzi mara mbili yake!! Dawa ni Moja " huku Bara na nyie kamata Moja piga
  6. R

    Hii Kampuni ichunguzwe

    Nikishawahi kusema watu wa nyanda za juu kusini ni washamba Sana Sana hufurahia hatari
  7. R

    Haiti inahitaji sasa hivi kama Kagame

    Kama Hawaii ilinunuliea 1893
  8. R

    Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

    Yanga itapotea kwenye soka ni a matter of time!! Ngoma ilikilia Sana jua inapasuka
  9. R

    Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

    Watapoteza wachezaji wote Kwa ajali ni suala la muda tuu!!?.kafara Halina utani
  10. R

    Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

    Ndani ya miaka mchache yanga itapata pigo kubwa Sana Sana hamtaamini inweza poteza wachezaji wooite !! Kafara litajibu!!
  11. R

    Kuhusu madai ya Mayele kutupiwa majini vs mganga huyu we kienyeji kutoka Kusini mwa Tanzania

    Yanga uchawi umewababa Sana mganga wao ni shwahiba wangu haswa!! Amewashauri wazae jezi nyeusi kweli hata mamaelod atafungwa 3 bila jamaa kanitonya!!
  12. R

    Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

    Kiwango cha ukosefu wa ajira kinatisha
Back
Top Bottom