Kiukweli mtoa,mada ana hoja!! Huwezi kuijenga timu nzuri ya taifa ikiwa vilabu vikubwa vinavyoshirik mashindano makubwa vina foreigners!!! Ilipaswa kuwe na Sheria wagen wawe at least 40 au 50 percent!! Huo ndio ukweli !! Sasa Yanga utafikiri ni combination ya wachezaji wa afrika
Nilisha andika na kuandika !! Kweli kama Kuna watu washamba kwenye mabasi basi ni huku nyanda za juu kusini!! Kwa kifupi hawajielewi!!!
Nawasihi endeleeni kutukuta mbio za mabasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.