Recent content by RoadLofa

  1. RoadLofa

    Mwigulu Lameck Nchemba ukiwa waziri wa fedha tulikuonya kuhusu mfuko wa Road fund aya Sasa barabara 85% ni mashimo na TANROADS iko hoi

    hajui kama wenzake wanajitajirisha uko yeye anakazi ya kuwatetea na kama wanamlipa basi ni visenti tu
  2. RoadLofa

    Mwanamuziki Matonya ashtakiwa kwa ubakaji nchini Kenya

    dudubaya kuna interview ya muda kidogo amewahi kumzungumzia Matonya kuwa ni miyeyusho kuwa ni mwizi aka mdokozi pia ukitembea naye achelewi kukuachia msala na ukimlipa kabla ya show anaweza ata kutotokea kwenye show na iyo inathibitisha kweli ni miyeyusho nahisi dudubaya hii issue ataizungumzia...
  3. RoadLofa

    Mwanamuziki Matonya ashtakiwa kwa ubakaji nchini Kenya

    Wasanii wabongo kuna somo hapo wanatakiwa kujifunza maana kuna vitu vya ajabu sana uwafanyia wasichana wabongo aswa kwenye matamasha au show zao wakiwa bongo ambazo kwa nchi za nje ni kinyume na sheria wabadilike maana kama wangekuwa kwenye nchi izo nadhani tungebaki na DUDU BAYA tu uraiani na...
  4. RoadLofa

    Imekuwaje Vicky Kamata ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA!

    naskia baada ya kumaliza ubunge akarudi job .
  5. RoadLofa

    Imekuwaje Vicky Kamata ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA!

    yah ni teuzi ,kama ni ivyo ni sawa maana sina uelewa vizuri na icho cheo,kama kipo kisheria na haina shida basi hongera kwake
  6. RoadLofa

    Imekuwaje Vicky Kamata ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA!

    kama kafika kwa haki ni sawa mi mwenye sina shida naye ila kama ni kinyume hii nchi kuna shida kubwa
  7. RoadLofa

    Imekuwaje Vicky Kamata ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA!

    Katika pitapita zangu fb mara nikakutana na video ya Vicky Kamata kajipost facebook kwenye page yake akiuza sura na gwanda ya Tawa akiwa kwenye gari akielekea kwenye majukumu yake maana kwa sasa ni kamishina msaidizi mwandamizi TAWA Aisee kucheck comment watu wanaponda balaa ila na mimi kwa...
  8. RoadLofa

    DC Kibaha aachana na mkewe, kisa Matokeo ya DNA

    yah wageni wa mambo hao hii issue ya miaka 2 au 1 nyuma nashangaa this month ndo inatrend
  9. RoadLofa

    Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    kumbe kuuliwa mnajitakiaga wenyewe,acha iyo tabia tutakupoteza soon
  10. RoadLofa

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    mi nimewahi kutana na malaya PICNIC chugga anajiuza kwa sababu ya marejesho ya mikopo na michezo aka vikoba ila akiwa hana madeni haendi kabisa kujiuza,issue ya kijirahisisha haina tofauti na kujiuza tu naona kuna sababu kibao na mojawapo ni iyo niliyohitaja.
  11. RoadLofa

    Mchengerwa anamjibu Mamba Dudubaya kuhusu mashine ya MRI

    dudubaya akirudi bongo awe makini na azidishe kujilinda tu meza aliyogusa ina vinywaji vya bei kubwa sana
  12. RoadLofa

    Ushauri kwa Serikali kupitia TANROAD, ni afadhali kutokujenga barabara za lami zenye kiwango cha chini mpaka pale budget kubwa itakapopatikana

    iyo miradi ya ujenzi ndo ya viongozi wetu kufanyia fraud kubwa kubwa wewe unataka isitekelezwe unafikiri watakuelewa?na tena wanafurahia ikitokea mara kwa mara
  13. RoadLofa

    Mrejesho wa uzi wa wanawake kutusogezea makalio kwenye Dala dala

    iyo ishanikuta anakubananisha na matako kabisa na hawazi mtu hadi unadi....
  14. RoadLofa

    Mrejesho wa uzi wa wanawake kutusogezea makalio kwenye Dala dala

    duh hii michezo kweli uwa wanaipenda mi ndo maana uwa sipendi kukaa seat ya njiani bora ya dirishani mmama au mdada anapita anakupangussa na tako lake au anakususia tako badala ya kusimama vizuri kuna siku hadi nilididisha,na kuna mama mmoja nilishuhudia amemsusia jamaa tako wakiwa wamesimama...
Back
Top Bottom