Recent content by RoadLofa

  1. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

    bado wanadai redio mbao zinadai ukiwa unaanza mwaka mpya wa fedha uwa kuna kuchelewa kwa mishahara japo ukweli wake sifahamu nimesikia tu.
  2. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Unatumia vigezo gani kujua mpenzi uliyenaye ni sahihi?

    TRUE,kuna demu nilimpeleka ghetto akaanza kulichambua na full judgement kibao na kila siku ana shida ya hela nimeona bora nimpotezee
  3. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    wanakagua kwa sampling zisizoendana na uhalisia ndo shida inapoanzia
  4. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    dah ivyo ni bomu slots zake hazifanyi kazi vinasoma mtandao kwa shida sana
  5. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Mwanamuziki TID akamatwa kwa kushindwa kulipa bili Bar

    true company za kisenge sio,hapo waliofaidi usikute wapambe halafu jamaa kaambiwa alipe
  6. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Mwanamuziki TID akamatwa kwa kushindwa kulipa bili Bar

    wanakuonea sana mbona mshahara mdogo
  7. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Mwanamuziki TID akamatwa kwa kushindwa kulipa bili Bar

    hapo tumsubiri dudu baya atamponda balaa
  8. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania KERO Ukienda na hasira ofisi Serikali unaweza zabua watu Makofi

    ofisi za serikali hazikwepeki maana leseni,vibali lazima vitoke kwao
  9. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    ndo kuna kisimu cha kitochi nishapigwa ninacho hapa kinaitwa acefly muda wote mtandao kinaweka emergency mara no service dah ni balaaa tupu yaani tz vitu vingi vinaingizwa havina ubora na TBS wapo tu ofisini sijui wanathibiti ubora gani,yaani tz ni dampo
  10. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Katiba ya CHADEMA ikifuatwa vizuri Lissu, Heche na Mnyika wanakosa uhalali wa kisheria kuendelea kuwa viongozi

    ccm wengi akili hawana sa mtu ni mbadhirifu si wamfungulie kesi mahakamani yaani mtu anafuja mali za umma wao wanamwacha tu.
  11. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Katiba ya CHADEMA ikifuatwa vizuri Lissu, Heche na Mnyika wanakosa uhalali wa kisheria kuendelea kuwa viongozi

    umeshathibitisha izo tuhuma?yaani unaonyesha kabisa akili hauna . mahakama imethibitisha izo tuhuma zako unaitimisha vipi mtu ni mbadhirifu bila vithibitisho aisee kweli wabongo wengi akili hawana
  12. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Kudhulumiwa, kuibiwa na kutapeliwa kunauma balaa unaweza ukaua mtu

    wanawake vitu vya wanaume uwa wanaona ni haki zao ndo jamii za kiafrica tulivyolelewa ivyo na ukimnyima au kumdai anaona kama anaonewa na anaweza kukukasirikia kabisa
  13. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Kudhulumiwa, kuibiwa na kutapeliwa kunauma balaa unaweza ukaua mtu

    Duh uwa inauma balaa sema watu uwa hawajui tu wanayemfanyia ivyo anapitia situation gani,mi kuna mfanyakazi mwenzangu miyeyusho sana namdai 140k yangu huu ni mwezi wa 3 anaruka ruka tu kunilipa nikama ananipuuza na mshahara kila mwezi anapata na per diem za safari amepokea zaidi ya 1m
  14. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Nini sababu ya ofisi za umma kuweka kondomu kwenye korido?

    miongozo ya serikali
  15. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Jiji Tanga, hatua hii ni kwa faida ya nani?

    jamaa hajui kwamba stendi nyingi ujengwa ivyo ili pia kutanua ukuaji wa miji ni kama arusha tu baade itakavyokuwa ,vijana wa tanga wavivu sana na wazembe hawaoni iyo kama fursa sijui maana iyo stendi italeta fursa aswa kwa watu wa bajaji,daladala ,na kukuza jiji waliona wapi mkoa ukaendelea kwa...
Back
Top Bottom