salary advance ni kama madawa ya kulevya au pombe ukishaingia kuchomoka ngumu sana ,watu wanapiga simu bank balaa kuulizia salary advance naskia shida ni mfumo
hii true kuna watumishi kibao private sectors na wa umma ,na kwenye mitandao ya kijamii wanatumia fake id za kike mi kuna mmoja alishaga niijia fb nikadhani demu kuchat chat naye akanifungukia kumbe gay kwenye kumfuatilia ni mwalimu wa secondary ,wilaya fulani tanga just imagine mwalimu shoga...
kwa experience yangu vijana wengi wa mikoa ya pwani wavivu kutafuta pesa na wanapenda starehe na ndio kinachowaponza yaani wanapenda pesa za wanaume wenzao mwisho wa siku shwaaaaaaaa
pia ushoga uwa una mapepo yasijekumpitia akajikuta tu tayari,na kuna mikoa ya pwani kuna mapepo kabisa ya ushoga yakikupata unajikuta tu na izo tabia ,na yanakaa aswa maeneo ya starehe na ndio maana uwa tunakatazwa kwenda baadhi ya maeneo hatarishi
we ulikuwa unamsikiliza mshangazi aliyepagawa ,hajui wazungu wana akili kubwa ya kula na vipofu na waarabu wengi akili hakuna wakimuona mtu kavaa kama wao tu wanapagawa wanaona kama mwenzao
na kutochukua EFD receipt kwa mnunuaji wa bidhaa au huduma ni hatari sana endapo ukiuziwa bidhaa au huduma mbovu unaweza kosa haki kisheria ,pia wabongo tunadai sana uwajibikaji kwa viongozi ila sisi pia hatutaki nchi kuongozwa kwa sheria fuatilia mtandaoni watu wameshawahi kuhukumiwa kwenda...
ni wahuni sana na wengi wanakwepa kutoa EFD receipt kukwepa kodi na pia uuza simu fake na uikosesha serikali mapato na hawajui au wanajua nini utokea wasipotoa EFD receipt ila wanajitoa akili hao na inachangiwa pia na watu kutodai izo risiti na wananchi elimu ya kodi wengi ni hawana hawajui...
wana akili timamu tofauti na wabongo yaani harusi yenu halafu mnatusumbua wengine michango na mingine ya lazima na migogoro kibao kisa harusi,hapa nilipo natakiwa kuchangia harusi 3 moja mwezi wa 10 na mbili mwezi wa 11 sasa si mzigo huu kulingana na kipato na bajeti yangu,sema kiafrica ukifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.