dudubaya kuna interview ya muda kidogo amewahi kumzungumzia Matonya kuwa ni miyeyusho kuwa ni mwizi aka mdokozi pia ukitembea naye achelewi kukuachia msala na ukimlipa kabla ya show anaweza ata kutotokea kwenye show na iyo inathibitisha kweli ni miyeyusho nahisi dudubaya hii issue ataizungumzia...
Wasanii wabongo kuna somo hapo wanatakiwa kujifunza maana kuna vitu vya ajabu sana uwafanyia wasichana wabongo aswa kwenye matamasha au show zao wakiwa bongo ambazo kwa nchi za nje ni kinyume na sheria wabadilike maana kama wangekuwa kwenye nchi izo nadhani tungebaki na DUDU BAYA tu uraiani na...
Katika pitapita zangu fb mara nikakutana na video ya Vicky Kamata kajipost facebook kwenye page yake akiuza sura na gwanda ya Tawa akiwa kwenye gari akielekea kwenye majukumu yake maana kwa sasa ni kamishina msaidizi mwandamizi TAWA
Aisee kucheck comment watu wanaponda balaa ila na mimi kwa...
mi nimewahi kutana na malaya PICNIC chugga anajiuza kwa sababu ya marejesho ya mikopo na michezo aka vikoba ila akiwa hana madeni haendi kabisa kujiuza,issue ya kijirahisisha haina tofauti na kujiuza tu naona kuna sababu kibao na mojawapo ni iyo niliyohitaja.
iyo miradi ya ujenzi ndo ya viongozi wetu kufanyia fraud kubwa kubwa wewe unataka isitekelezwe unafikiri watakuelewa?na tena wanafurahia ikitokea mara kwa mara
duh hii michezo kweli uwa wanaipenda mi ndo maana uwa sipendi kukaa seat ya njiani bora ya dirishani mmama au mdada anapita anakupangussa na tako lake au anakususia tako badala ya kusimama vizuri kuna siku hadi nilididisha,na kuna mama mmoja nilishuhudia amemsusia jamaa tako wakiwa wamesimama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.