ndo kuna kisimu cha kitochi nishapigwa ninacho hapa kinaitwa acefly muda wote mtandao kinaweka emergency mara no service dah ni balaaa tupu yaani tz vitu vingi vinaingizwa havina ubora na TBS wapo tu ofisini sijui wanathibiti ubora gani,yaani tz ni dampo
wanawake vitu vya wanaume uwa wanaona ni haki zao ndo jamii za kiafrica tulivyolelewa ivyo na ukimnyima au kumdai anaona kama anaonewa na anaweza kukukasirikia kabisa
Duh uwa inauma balaa sema watu uwa hawajui tu wanayemfanyia ivyo anapitia situation gani,mi kuna mfanyakazi mwenzangu miyeyusho sana namdai 140k yangu huu ni mwezi wa 3 anaruka ruka tu kunilipa nikama ananipuuza na mshahara kila mwezi anapata na per diem za safari amepokea zaidi ya 1m
jamaa hajui kwamba stendi nyingi ujengwa ivyo ili pia kutanua ukuaji wa miji ni kama arusha tu baade itakavyokuwa ,vijana wa tanga wavivu sana na wazembe hawaoni iyo kama fursa sijui maana iyo stendi italeta fursa aswa kwa watu wa bajaji,daladala ,na kukuza jiji waliona wapi mkoa ukaendelea kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.