Recent content by RoadLofa

  1. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Hivi Nchimbi hana watoto, kaka, dada, mabinamu, na ndugu wengine wa karibu?

    Nchimbi ana ndugu na wanaposition serikalini kuna mdogo wake anaitwa JOHN NCHIMBI google utawaona
  2. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Sisi wa salary advance kuna shida gani?

    salary advance ni kama madawa ya kulevya au pombe ukishaingia kuchomoka ngumu sana ,watu wanapiga simu bank balaa kuulizia salary advance naskia shida ni mfumo
  3. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    hii true kuna watumishi kibao private sectors na wa umma ,na kwenye mitandao ya kijamii wanatumia fake id za kike mi kuna mmoja alishaga niijia fb nikadhani demu kuchat chat naye akanifungukia kumbe gay kwenye kumfuatilia ni mwalimu wa secondary ,wilaya fulani tanga just imagine mwalimu shoga...
  4. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    anapoteza muda labda atapunguza tu ila kutoboa hawezi huo ujinga upo tangu yesu hajazaliwa ,sanasana akijichanganya watammaliza
  5. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    kwa experience yangu vijana wengi wa mikoa ya pwani wavivu kutafuta pesa na wanapenda starehe na ndio kinachowaponza yaani wanapenda pesa za wanaume wenzao mwisho wa siku shwaaaaaaaa
  6. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    tr true,kuna mashoga wa kike kibao aswa pwani
  7. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    pia ushoga uwa una mapepo yasijekumpitia akajikuta tu tayari,na kuna mikoa ya pwani kuna mapepo kabisa ya ushoga yakikupata unajikuta tu na izo tabia ,na yanakaa aswa maeneo ya starehe na ndio maana uwa tunakatazwa kwenda baadhi ya maeneo hatarishi
  8. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa CR7 kwenye kufunga ndoa yake ni mzuri sana, ni wa kuigwa. Una maoni gani mdau?

    mi tangu mwaka uanze nimepata mialiko 5 tayari mbili nishachangia bado 3 na mwaka bado haujaisha
  9. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa CR7 kwenye kufunga ndoa yake ni mzuri sana, ni wa kuigwa. Una maoni gani mdau?

    sio kama harusi ya jux,azizi ki na baby shower ya zuchu ila bongo kuna trending za ajabu sana
  10. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa CR7 kwenye kufunga ndoa yake ni mzuri sana, ni wa kuigwa. Una maoni gani mdau?

    we ulikuwa unamsikiliza mshangazi aliyepagawa ,hajui wazungu wana akili kubwa ya kula na vipofu na waarabu wengi akili hakuna wakimuona mtu kavaa kama wao tu wanapagawa wanaona kama mwenzao
  11. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa CR7 kwenye kufunga ndoa yake ni mzuri sana, ni wa kuigwa. Una maoni gani mdau?

    iyo dfn ya ndoa umeitoa wapi?ndoa ni makaratasi
  12. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wauza simu hawana mashine za EFD?

    na kutochukua EFD receipt kwa mnunuaji wa bidhaa au huduma ni hatari sana endapo ukiuziwa bidhaa au huduma mbovu unaweza kosa haki kisheria ,pia wabongo tunadai sana uwajibikaji kwa viongozi ila sisi pia hatutaki nchi kuongozwa kwa sheria fuatilia mtandaoni watu wameshawahi kuhukumiwa kwenda...
  13. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wauza simu hawana mashine za EFD?

    ni wahuni sana na wengi wanakwepa kutoa EFD receipt kukwepa kodi na pia uuza simu fake na uikosesha serikali mapato na hawajui au wanajua nini utokea wasipotoa EFD receipt ila wanajitoa akili hao na inachangiwa pia na watu kutodai izo risiti na wananchi elimu ya kodi wengi ni hawana hawajui...
  14. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa CR7 kwenye kufunga ndoa yake ni mzuri sana, ni wa kuigwa. Una maoni gani mdau?

    wana akili timamu tofauti na wabongo yaani harusi yenu halafu mnatusumbua wengine michango na mingine ya lazima na migogoro kibao kisa harusi,hapa nilipo natakiwa kuchangia harusi 3 moja mwezi wa 10 na mbili mwezi wa 11 sasa si mzigo huu kulingana na kipato na bajeti yangu,sema kiafrica ukifanya...
  15. RoadLofa

    JamiiForums Tanzania Nssf mafao yangu ubungo

    WANAENTERTAIN RUSHWA ,WATUMISHI WA UMMA SIJUI KAMA NAO UWA NA HUO UJINGA
Back
Top Bottom