Recent content by RoadLofa

  1. RoadLofa

    Kuna jamaa mmoja wa bodaboda hapa mtaani namchapia mke wake Sasa nahisi kama ameanza kujua

    kumbe kuuliwa mnajitakiaga wenyewe,acha iyo tabia tutakupoteza soon
  2. RoadLofa

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    mi nimewahi kutana na malaya PICNIC chugga anajiuza kwa sababu ya marejesho ya mikopo na michezo aka vikoba ila akiwa hana madeni haendi kabisa kujiuza,issue ya kijirahisisha haina tofauti na kujiuza tu naona kuna sababu kibao na mojawapo ni iyo niliyohitaja.
  3. RoadLofa

    Mchengerwa anamjibu Mamba Dudubaya kuhusu mashine ya MRI

    dudubaya akirudi bongo awe makini na azidishe kujilinda tu meza aliyogusa ina vinywaji vya bei kubwa sana
  4. RoadLofa

    Ushauri kwa Serikali kupitia TANROAD, ni afadhali kutokujenga barabara za lami zenye kiwango cha chini mpaka pale budget kubwa itakapopatikana

    iyo miradi ya ujenzi ndo ya viongozi wetu kufanyia fraud kubwa kubwa wewe unataka isitekelezwe unafikiri watakuelewa?na tena wanafurahia ikitokea mara kwa mara
  5. RoadLofa

    Mrejesho wa uzi wa wanawake kutusogezea makalio kwenye Dala dala

    iyo ishanikuta anakubananisha na matako kabisa na hawazi mtu hadi unadi....
  6. RoadLofa

    Mrejesho wa uzi wa wanawake kutusogezea makalio kwenye Dala dala

    duh hii michezo kweli uwa wanaipenda mi ndo maana uwa sipendi kukaa seat ya njiani bora ya dirishani mmama au mdada anapita anakupangussa na tako lake au anakususia tako badala ya kusimama vizuri kuna siku hadi nilididisha,na kuna mama mmoja nilishuhudia amemsusia jamaa tako wakiwa wamesimama...
  7. RoadLofa

    Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    iyo tulishaga jaribu na jamaa yangu tukilewa tunajikuta tumeshatoka tupo bar
  8. RoadLofa

    Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    nipe ushauri mkuu wa kuacha pombe
  9. RoadLofa

    Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    jamaa story kaifunga funga sana ila ni alikuwa mtungi,mi weekend tu nimepoteza pia 300k kwa ulevi wa kifala kama huo
  10. RoadLofa

    Naona kama baba zetu walikua wanaoa mapema zaidi, na kujipata kiuchumi mapema kuliko sisi vijana wa sahivi

    Zamani kwanza unapewa mashamba,mifugo na mke unatafutiwa ila sahivi nitofauti kila kitu unatafuta mwenyewe kwa iyo hauwezi linganisha zamani na sasa ata kidogo kunatofauti sana ata fursa zamani zilikuwa nyingi sana sahivi zakugombania mfano tu sahivi kupata Ajira ni mtiti unafikiri vijana...
  11. RoadLofa

    Ni kufunga au kubadili muda wa kula tu?

    wengine futari vinaporomoshwa vitu kama sikukuu yaani gharama inayotumika bonge la bajeti kuliko ata siku za kawaida aswa waarabu vinapikwa vyakula vya kila aina na sa nyingine vya jamii moja sambusa,chapati,maandazi,bagia ,nk yaani ni fujo tu nahisi hadi vingine uwa vinamwagwa,wakati...
  12. RoadLofa

    Forex ni kamari ya kimtandao: "Emmanuel Mpawe Tutuba (Governer Bank of Tanzania)"

    ndo maana wazungu uiita betting on forex ,ingekuwa kuna kupiga pesa nje nje situngeona matajiri wa forex kwenye forbes list
  13. RoadLofa

    Wanawake wengi wanavutia wakiwa wamevaa nguo ila wakivua mvuto hamna

    russian guy harufu haisumbui achagui wala kubagua
  14. RoadLofa

    Wanawake wengi wanavutia wakiwa wamevaa nguo ila wakivua mvuto hamna

    ile harufu mi ilikuwaaga mpaka nipige kvant
Back
Top Bottom