mi nimewahi kutana na malaya PICNIC chugga anajiuza kwa sababu ya marejesho ya mikopo na michezo aka vikoba ila akiwa hana madeni haendi kabisa kujiuza,issue ya kijirahisisha haina tofauti na kujiuza tu naona kuna sababu kibao na mojawapo ni iyo niliyohitaja.
iyo miradi ya ujenzi ndo ya viongozi wetu kufanyia fraud kubwa kubwa wewe unataka isitekelezwe unafikiri watakuelewa?na tena wanafurahia ikitokea mara kwa mara
duh hii michezo kweli uwa wanaipenda mi ndo maana uwa sipendi kukaa seat ya njiani bora ya dirishani mmama au mdada anapita anakupangussa na tako lake au anakususia tako badala ya kusimama vizuri kuna siku hadi nilididisha,na kuna mama mmoja nilishuhudia amemsusia jamaa tako wakiwa wamesimama...
Zamani kwanza unapewa mashamba,mifugo na mke unatafutiwa ila sahivi nitofauti kila kitu unatafuta mwenyewe kwa iyo hauwezi linganisha zamani na sasa ata kidogo kunatofauti sana ata fursa zamani zilikuwa nyingi sana sahivi zakugombania mfano tu sahivi kupata Ajira ni mtiti unafikiri vijana...
wengine futari vinaporomoshwa vitu kama sikukuu yaani gharama inayotumika bonge la bajeti kuliko ata siku za kawaida aswa waarabu vinapikwa vyakula vya kila aina na sa nyingine vya jamii moja sambusa,chapati,maandazi,bagia ,nk yaani ni fujo tu nahisi hadi vingine uwa vinamwagwa,wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.