Haya matamko yangekuwa yanasimamiwa yangekuwa yanaleta tija lakini viongozi wetu wanatoa matamko ya kufurahisha watu na kutaka waandikwe kwenye kurasa za mbele za magazeti.
Habari zenu wakuu? Naomba mnifahamishe na kunijuza ni sababu zipi za msingi zinazomfanya mkuu wa nchi kutovunja baraza la mawaziri hadi leo.Ikumbukwe kuwa zimebaki siku nane tu serikali mpya ichukue madaraka.Najua hapa jamvini kuna wanasheria watanisaidia ktk hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.