hii pia ni kichaa kuandika ni rahisi lakini kwenye uhalisia ni tofauti labda uwe dereva mwenyewe ukiwapa madereva wakuletee hesabu utajuta
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
siwahi kuona mtu waajabu kama wewe abiria ulie panda hilo basi! yaani umesema kabisa yakuwa gari limeharibika halafu unataka likufikishe stand kivipi haujiongezi tu yaani hiyo alfu10000 yako inatosha matengenezo ya hiyo gari subiri gari itengenezwe ndio safari iendelee unajua bei ya hiyo gari...
hiyo ni ratiba tu ya kufanya kazi kama mtumwa ili uishi kama mfalme utumwa ni pale unapopangiwa na bosi wako kazi ambayo hauipendi lakini kwa njaa zako unalazimika uifanye tu mfano mimi miaka mnne iliyopita nilikuwa dereva wa bajaj ya mkataba nilikuwa naamka SAA 11 alfajiri mpaka saa4 usiku...
usiishie kwenye ucha Mungu tu ongeza na kufanya kazi kwa bidii na maarifa pia ishi kwa malengo na heshimu unachokipata
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.