Me nimetumiwa whatsap ucku, nashkuru ckuangalia hyo ucku, nadhani ningeota vitu vibaya sana, yani ningeota ninachomfanya huyo hg mpaka ningelia, mtoto anauma, maana nilishtuka pale alipomtupa chini, sasa limwili lote unaenda mkanyaga mtoto, jamani hawa watu. Hivi kwa hapa kwetu Tz, cjui makabila...
Hawezi kushtaki, maana ww unafata vigezo ma masharti, alichokuwa anataka eddy ni kuwa, kuwe na jina la mwandishi wa hyo hadithi, nawe waliweka, hakuna tatizo mkuu, tupia nyingine za kupatia usingizi, big up Nyaluhusa87
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.