nimeomba nyingi tu sijafanikiwa.. and kwenye Goverment kazi za Masters ni zile kubwa zinaitaji uzoefu miaka mitano..na mimi sina experience niliunganisha from BA to MA.....so huwa sipotezi muda kuapply hizo kubwa kny Goverment
Jaman nimeaapply sana tume ya ajira na Masters lakini nimeishia kutoswa kila,juzi hadi nimeapply nafasi ya afisa tarafa lakin najua nitapigwa chini tu.wenye uzoefu na serikalin naombeni msaada nini tatizo kama unaomba kazi kwa Masters? Note.. nafasi ninazoomba ni hizi za first degree za tume ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.