Davich
Member
- Jun 26, 2012
- 37
- 8
Unaweza itwa pale kwaajili ya interview na ukafunika kumbe unasindikiza tu!!!Niwafanyakazi wa serekari kunaweza kukawa na nafasi moja wakaita watu kumi,Kuna umuhimu gani wakuniita kama unajua hutanichukua??Yaani nimefanya nao Interview kama 4 unawajibu maswali yote na wanakuambia vizuri sana wanachukua mtu mwingine.Yaani serikari imekuwa na undugu mzito mno.
Coz nimeenda pale mara nne eti wananiuliza "Du!!hivi wewe hujapata kazi tuu??" kana kwamba hawajui kama kazi iliyopita walininyima!!!Hao ni wazee na watu wazima wanahesabika kuwa na elimu za juu kuaminika kuwa elimu za juu za zamani ni zaidi ya za sasa.
Swali langu la msingi napenda kufahamu,ilikupata kazi serekalini unatakiwa kuwaje?????, sina mtu wa kumtumia popote pale,:hat:,maana Interview zao zili za powerpoint nimefanya mara 4 na vizuri hawanipi kazi! kama mtu hafai asiitwe kwani utakuwa umepoteza pesa ya kutumia barua tuu sio pamoja na nauli,muda na usingizi.
Coz nimeenda pale mara nne eti wananiuliza "Du!!hivi wewe hujapata kazi tuu??" kana kwamba hawajui kama kazi iliyopita walininyima!!!Hao ni wazee na watu wazima wanahesabika kuwa na elimu za juu kuaminika kuwa elimu za juu za zamani ni zaidi ya za sasa.
Swali langu la msingi napenda kufahamu,ilikupata kazi serekalini unatakiwa kuwaje?????, sina mtu wa kumtumia popote pale,:hat:,maana Interview zao zili za powerpoint nimefanya mara 4 na vizuri hawanipi kazi! kama mtu hafai asiitwe kwani utakuwa umepoteza pesa ya kutumia barua tuu sio pamoja na nauli,muda na usingizi.