Case yako imekaa kama yangu ila mie tayari nilishapata hedhi. Mimi pia nilipata hedhi tarehee 11.10 mzunguko wangu ni siku 28 nilitarajia nipate hedhi tena tarehe 7.11, nkashangaa imepita tarehe 8,9 nimekuja kupataha hedhi tarehe 10 mimi pia nilikuwa matiti yanauma na ute japokuwa hakuwa mwingi...
Hata huku Dar ni majanga ndugu, no signal ndo mpango wao! Cha ajabu hata hizo no zao wanazotangaza hazipatikani, hiyo email ukituma inafel sielewi wana maana gani! Bora ya hata Star times mara mia wao wanapotea wanarudi continental ni majanga yaani majanga!
Ulikuwepo na hukuona yanakusanywa, wakati huo huo wakayakusanya na helikopta lakini wakayapeleka na fuso. tuchukue lipi tuache lipi? Mbona unajimix ndugu?
Siku hizi kila kitu feki sijui tule/tunywe nini? mie nilikuwa nakunywa uhai ikasemekana kuna uwezekano mkubwa hayo maji yanafanywa hivyo kama unavyohisi wewe, nkaacha nikaamia Kilimanjaro sasa kumbe nako majanga!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.