Watanzania kudhania kuwa watu inje ya TZ na Kenya hawajui location ya Kilimanjaro ndicho kitu cha upuzi sana nishawai shuhudia kwenye internet. Hakuna mtalii ambaye anataka kwenda Kilimanjaro ashawai potea direction, muweke hiyo akilini wazembe nyie
labda Zambia hawana ndege la rais. Pia ujue rais hasafiri peke yake huwa na delegation, kwa hivyo wakati aina ya usafiri inachaguliwa lazima wazingatie rais atasafiri na watu wangapi. Safari zingine zote marais wa kenya hutumia ndege la rais
KQ inayopiga route ya America ina safari kila siku, we huoni ni hasara kwa ndege ya KQ kukodishwa siku nne. Hizo siku nne hiyo KQ inayopiga piga route za NBO-JFK Itaunda pesa mingi kuliko zile ingepata ingekodishwa na mtu binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.