Recent content by Riko Makenga

  1. R

    Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

    Wewe unacho kitabu cha yashari (original) au umewahi kukiona? Unaelewa maana ya kanisa??? Maana unachosema Roman kwamba ni kanisa unakosea,,,vitabu vya Roman Catholic sio vitabu vya wakristo wote,,,Unapoongelea injili ya baraba,,injili ya Magdalene au injili ya batilomayo Tayari kwa wakristo...
  2. R

    Biblia na reference ya vitabu vya kipagani

    Wewe unacho hicho kidayari/ki diary?? Ni hoja ipi uliijenga kupitia hivyo vitabu ikakataliwa,,,je unajua unakosea kuviita vya kipagani??au unataka hata ukijenga hoja kwa vitabu visivyo na muunganiko na ukristo ukubaliwe tu usipingwe??? Hayo ni mambo yanayowezekana kwenye physics math na...
  3. R

    Zipi faida au hasara za kuoa mwanamke anayependwa na wazazi wake kupita kiasi?

    Ndio.Yeye huwa anahisi wewe pia utaila ya binti yake,,kwa hio hataki hata mahari yako ya pesa wala nini,,yeye anataka akupakue tu.Na usishangae yeye pia alipakuliwa wakati anaoa.Kwa hio ndio mchezo wake maana mama wa huyo binti kampasi hadi kamnyoosha.
  4. R

    Zipi faida au hasara za kuoa mwanamke anayependwa na wazazi wake kupita kiasi?

    Ni pale baba anapokuwa na mapenzi na binti yaliyozidi.
  5. R

    Zipi faida au hasara za kuoa mwanamke anayependwa na wazazi wake kupita kiasi?

    Mkuu umeguna,,unawapata hao watu sio!! Hawatakagi hata mahari,,wanaona kama wanamuuza binti yao.
  6. R

    Zipi faida au hasara za kuoa mwanamke anayependwa na wazazi wake kupita kiasi?

    Je! Huyo mwanamke ni kabila gani,?? Maana kuna kabila moja njia ya mombasa,,baba akiwa anampenda binti yake sana,,wewe unaetaka umuoe huyo binti lazima baba yake akupakue ndio akupe binti yake.Kwa hio kuna changamoto nyingi.
  7. R

    Mshana Jr, agent wa Shetani JF?

    Mtoa mada anaongea ukweli ambao ni wachache sana watamuelewa.
  8. R

    Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

    Labda Nikuulize mtoa mada,,,lengo lako kutaka mtu mwenye imani yake kamili kufikiri nje ya box ni nini?? Au unamtaka atoke kwenye box lake aingie kwenye box lako??? Eti lilithy!!
  9. R

    Kama wewe ni "mvivu wa akili" usisome andiko hili (Fanya mambo mengine)

    Tanzania ni nchi ya ulimwengu wa tatu.Na wanasiasa wote wa utawala na upinzani akili zao ni za ulimwengu wa tatu.sisi wananchi ni ngazi yao.Ningeweza ningeshauri wananchi wasihangaike na siasa,,maana sisi ni liability kwao.Wao wanatumiwa na mataifa makubwa na kwa sababu ya uwezo wao mdogo hata...
  10. R

    Tusikariri Ufanyaji Ngono

    Hapana..hata wewe hukutumia maamuzi sahihi kujiita namna hio.ina maana unakula dengu na maharage kila siku?
  11. R

    Tusikariri Ufanyaji Ngono

    Kilichonishangaza ni kwamba kakaa mjini mda mrefu tu.
  12. R

    Tusikariri Ufanyaji Ngono

    Ugumu uliopo kwenye kuisoma ni mkubwa kiasi ya kuwa na fikra mbadala kwamba ni bora ingefupishwa ianze na N pekee kufuatiwa na surname.
  13. R

    Tusikariri Ufanyaji Ngono

    Sawa mkuu.nimekuwa curious kuijua.
Back
Top Bottom