Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Bila uasherati usingezaliwa mkuuYani inaonekana jins gan uko makin kweny uasherati mkuu,,,chukua hatua Acha ngono

Bila uasherati usingezaliwa mkuuYani inaonekana jins gan uko makin kweny uasherati mkuu,,,chukua hatua Acha ngono

Akikujibu tafadhali nitag mkuuMkuu Naomba unielezee kidogo hiyo $taili ya mashtaka ya yesu inakaliwaje??
Mi nishaijua unayosemea hehe..Wewe umenisemea mimi kabisa mkuu, kuna tabia hizo mbili hapo juu sizipendi na nazichukia kweli, nikikuta mwanaume anazo huwa namkimbia mazima... Acheni kukariri bwana
Aah, wapiMi nishaijua unayosemea hehe..
Swali la kizushi, umeshakimbia wangapi?
Sawa mkuu.nimekuwa curious kuijua.Akikujibu tafadhali nitag mkuu
Wala haina ukakasi mkuu.. inasomeka hivo hivo unavoiona Na a ntombe MushiMkuu samahani Kusema, kwa Kweli hii id yako ina ukakasi flani kwenye kuisoma.
Nikuambie!?Aah, wapi
Ki ukweli hata mimi nimestuka sana, “MASHTAKA YA YESU” aiseee!!!Sawa mkuu.nimekuwa curious kuijua.
Mkuu i see u enjoying SanaaHAHAAA AISEE JF HAHAAA
Uzi wenyewe upo educative sana.. We unadhani watu kama sie tusiposhughulika si tutaachwaTena kasoma mpaka mwisho
Unataka kucheza bikoNikuambie!?

hahaa wanachekesha mnooo aisee wakishavuta bangi zao basiii wanakimbilia huku kutupa burudaniMkuu i see u enjoying Sanaa
Ugumu uliopo kwenye kuisoma ni mkubwa kiasi ya kuwa na fikra mbadala kwamba ni bora ingefupishwa ianze na N pekee kufuatiwa na surname.Wala haina ukakasi mkuu.. inasomeka hivo hivo unavoiona Na a ntombe Mushi