Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Hapana najua tuu, na umesha sema mwenyewe vitu viliwi vipo hapo vinakukimbizaga.Unataka kucheza biko
Hapana najua tuu, na umesha sema mwenyewe vitu viliwi vipo hapo vinakukimbizaga.Unataka kucheza biko
Haha sawa mkuu jf ni sehemu ya ku release stresshahaa wanachekesha mnooo aisee wakishavuta bangi zao basiii wanakimbilia huku kutupa burudani
Ndefuuu![]()


Mimi sikuzaliwa Kwa uasherati Ila Kwa ndoa halali kabisa labda wewe uliwpatikana Kwa njia ya isiyo halali pole yako lakinBila uasherati usingezaliwa mkuu![]()
Kwa waskumaa ndowalivoo mkuuu wako kama magogoKuna mwanamke wa kisukuma nilikutana nae na kakaa mjini mda mrefu tu.kitandani ni gogo hasa.nikimwambia chochote hapendi hataki.nikadhani kakeketwa,, basi nikamcheki naona hajakeketwa.hizi tabia za kijijini za wanawake zinawakosti sana ..tena sana. Kuna wanawake ni mafundi hadi unasema hivi kwa nini nikae na mshamba wa mapenzi!!!
Ngoja nishibe then ntasomaaMTOA MADA UMEONGEA UMEONGEAAA WEEE LAKINI A MIMI NGOJA NIKUPE HIII ...
SIS WANAUME HUWA TUNA DESTURI HII ..IFAHAMIKE KWAMBA SIO KILA MWANAMKE AMBAYE TUNAFINYOX NAE HUWA TUNAMPNDA WENGI AMBAO TUNALALA NAO HUWA TUNALALA NAO KWAAJILI YAKUPUNGUZA TU MATAMANIO EITHER KWAAJILI YAKUSHAWISHIKA NA MVUTO WA MWANAMKE HUSIKA ..
MWANAMKE HATA KAMA AKIWA NA MVUTO HAIMAANISHI KUWA MWANAUME ANAPOTEMBEA NAE ETI NDIO ITAKUWA AMEMPENDA NOPE ..MAANA ILI UWEZE KUMPNDA MTU KILA MTU ANAVIGEZO VYAKE MAHUSUSI
FAHAMU HIVI ..MWANAUME HAWEZI KUPOTEZA NGUVU ZAKE ..UJUZI WAKE ..NA HUBA ZAKE KWA MWANAMKE AMBAYE HAJAMPNDA ..YAANI ALALE NA MWANAMKE AMBAYE AMELALA NAE KWAAJILI YA NYEGE KISHA AJITOE UFAHAMU NA KUANZA KUTOA SHOW YAKIBABE THUBUTU NANI KASEMA ..HUWA TUNAPIGA CHAP CHAP ILI TUWAHI KUFNYA MAMBO YETU ..MAANA WAKUTA MWANAMKE HATA HAVUTII SASA HUO UFNDI UNATAKA KUUPOTEZA KWAKE ILI IWEJE AANZE KUKUGNDA GANDA ..MWISHO WASIKU AKUCHORESHE KWA JAMAA ZAKO..MAANA SIO TYPE YKO ATI...
HUWA TUNAONYESHA UJUZI PALE AMBAPO PANASTAHIKI UJUZI
Kilichonishangaza ni kwamba kakaa mjini mda mrefu tu.Kwa waskumaa ndowalivoo mkuuu wako kama magogo
Waskumaa asili Yao Mkuu hawajui sio kukaaa mjini tuuKilichonishangaza ni kwamba kakaa mjini mda mrefu tu.

Hahaha siijui mkuuNaomba uinielezee
Ni kweli mkuuUzi wenyewe upo educative sana.. We unadhani watu kama sie tusiposhughulika si tutaachwa
Wewe takataka unachoshangaa ni nin?? Mim kusoma mpaka mwisho au genye zinakusumbua..Tena kasoma mpaka mwisho