Recent content by Rikaz

  1. R

    Kamati ya Uongozi wa Bunge yakutana Kwa Dharura

    Kwan ndyo ACACIA ndyo wameshaacha kuiba mpaka tupongezane
  2. R

    Tundu Lissu, tunafanyaje juu ya Prof. Kabudi?

    Mawazo yako yapo akilin mwangu pia
  3. R

    Criminals are Not very Smart! Ni Mtekaji tu Angekuwa na Uhakika wa Jumapili ya Makonda!

    Unadhan taarifa hazikutolewa polisi Hukumsikia wife wa Roma akisema wameshapita vituo vyote vya polisi Endeleea kushangaaa
  4. R

    Rais Magufuli amteua Prof. Kitila A. Mkumbo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji

    Hivi katibu mkuu c mwanataaluma kwa mana ya mtendaji Na sianapaswa aendane na hiyo ofisi kielimu Sasa hapa Maji na Saikolojia/education wap na wap
  5. R

    Kijiji cha Kolomije kinaongozwa na CHADEMA

    Nadhan nayeye atakuwa ameongea ziada. Cdhn kma kupost hiyo habar ilimfanya asiende kazn kwake
  6. R

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Raha sana Wacha wafu wazikane bila ya sanda
  7. R

    CCM 2020 mgombea kupita bila kupingwa imekaaje hii

    Tusipoanganlia 2020 inaweza badilika tena
  8. R

    Mkandarasi atishia kusitisha ujenzi terminal 3

    Mi ni consultant Sio lazima walipwe wote. Tena mara nyingi serikali imekuwa na tabia ya kumlipa mkandarasi na kumuacha consultant akilimbikiza maden. Magufulu amekuja na sera yake ya kuwabana ma consultant wakidhan umuhimu wao ni mdgo. Unaweza kuta mkandarasi ameshalipwa certificate ya saba...
  9. R

    Uzinduzi FlyOver Ubungo - Machi 20, 2017: Je, Hotuba ya Rais Magufuli itamtumbua RC Makonda?

    Alafu badae utakuja kuuliza swali Hiv kwanin atuendelei?
  10. R

    Lawrence Masha apendekeza Mwakyembe afukuzwe Uanachama TLS

    Update Arusha. Kibatala katoa taarifa Lissu kuingia arusha saa 11. Mapokez makubwa yanamsubir
  11. R

    Wakili Msando akanusha kujihusisha na njama za kumhujumu Tundu Lissu

    Ni sawa kidemocrasia ila tusifanyiane figisu. Tuwe fea then twende kwenye box.
  12. R

    Anayedaiwa kwamba cheti chake ndio anatumia Makonda afunguka

    We jamaa naona uko busy kutetea umeanzisha thread nyingine kule ya lipumba imebuma. Ahahahaaha aisee pole ndugu
  13. R

    Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

    Mbowe afika kituo cha polisi hii leo kwa hiari yake hii ni kwa mujibu wa habar ya saa hii kwenye East africa redio kipindi cha drive (4.46)
  14. R

    Pita hapa kama unataka kujua chochote kuhusu biashara Kampala

    Dah umenikumbusha mbali mkuu Namaiba hapo. Nimefanya biashara ya kuchukua nguo hapo "kariakoo" Ya kampala kuleta dar, at list ninaka exprnce kidgo. U can ask
Back
Top Bottom