waliopangiwa ajira Oct 7,2015 kwa katibu mkuu wizara ya fedha kuriport Lin????
Vip barua za kureport ,utumishi wanatuma baada ya muda gani????
Update tafadhari
:A S check_03: Kwa mwenye taarifa kuhusu ajira za TBS zilizotangazwa mwenzi january 4,2015 kama wamesha sahili walioomba
Tangazo pamoja na nafasi husika nimeattach hapo.
Tusaidiane , Nawasilisha
simu yangu inanisumbua sijui tatizo maana nikitumia pen inafanya kazi vizur lkn nikijaribu kutumia hands haifanyi kazi kiboard.
Msaada please maana hata msg siwez andika.
jamaa wanalalamika et GPA kubwa vyuo vya private.
Mbona watu walio serious gvt tunapiga GPA kubwa kishenzi tuacha mambo ya ajabu tatzo walioko vyuo vya gvt wanajarbu kuja na historia za 4m6 et div 1,2. ukwel ni kwamba wanajisahau na kula bata mm shaidi nipo ud tena COET lkn GPA kama 4,zipo...
wanajamvi mie naulizia mahali pa tuition center masomo ya physics, chemistry na hesabu kwa kidato cha tano ( kwa Mwanza) mwenye kujua vituo hivyo vilipo huko mwanza tusaidiane ili nimpeleke ndugu angu . Ntashukuru kwa msaada wakuu
Tatzo mtoa mada uwezo mdogo : tatzo ni up mbukeni mie nmesoma hvyo vyuo unavyodhani sio vya kama but kuna watu walichaguliwa name div 1 & 2 BT walionekana vilaza sn nikahis kumbe wanabahatisha tur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.