Recent content by Right Way In Light

  1. Right Way In Light

    Ndoa yangu ina hali tete

    Never ever yan hiyo ndio inakua ntoleee..utamkaza na ataikatikia ila huwez mgeuza akil tena!!!!
  2. Right Way In Light

    Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

    Basi mi nikajua "tafuta hela" inatosha, kumbe kuna ishu ya "Frikwensi" tena???? Kwel mpaka tunakufa tutakua tumechoka sanaa
  3. Right Way In Light

    Ndoa yangu ina hali tete

    WE bado mtoto sana, subiri kwanza ukue kue, hasa akili ndio utakua kwenye nafasi ya kuyaelewa haya. Kwasasa we shabikia tu kama simba na yanga
  4. Right Way In Light

    Vita ya Aleppo inaanza tena

    Hivyo viko africa tu na Gaza
  5. Right Way In Light

    Vita ya Aleppo inaanza tena

    Sasa kenya na wewe ndio wa kumtisha nani hapa bongo??
  6. Right Way In Light

    Ndoa yangu ina hali tete

    Watu ambao wamejikita kuzungumzia sababu ya kutomba kama ndio sababu,nimewadharau kabisaa na probably wengi wao kama sio wote wameongea kwa mkumbo tu. Mwanamke akishataka lake hata umtombe namna gani huwez kubadiki mindset yake. Mkuu kwakifupi huyo hata jama unamtomba sana, huyo kashabadil...
  7. Right Way In Light

    Ndoa yangu ina hali tete

    Tayari anachapiwa mpaka sasa
  8. Right Way In Light

    Mambo arobaini 40 yatakayokuepusha na Kifo cha mapema ndugu mpambanaji mwenzangu

    NAfikiri kasema hii ninkwa wapambanaji, sasa bakhresa sio wa level hiz za upambanaji. Yule kashapita huko, ni watu wanatafuta kufanya biashara na yeye sio yeye anatafuta watu wa kufanya biashara. Kama anatafuta bas ni watu waliomzidi mbali sana katika kujitanua zaidi. Mtazamo wangu lakini
  9. Right Way In Light

    Mambo arobaini 40 yatakayokuepusha na Kifo cha mapema ndugu mpambanaji mwenzangu

    Jambo jema, ila assume katika ndoa humo ndani mke a practise hii theory na mume naye aifanyie kazi, kwakwel maisha hayatakua maisha tena zaidi ya mashindano na ubinafsi wa hali ya juu humo ndani. Life life life, is such a complicated concept to comprehend. Nafikir living simplicity while letting...
Back
Top Bottom