Nimetembea mikoa kadhaa na nimeona mengi ya aina hii. Lakini kusema ukweli nilipofika Wilaya moja ya mkoa wa Kusini nilikutana na Mwanamke mwenye umri wa wastani wa miaka 28 hivi anaeonekana anajitambua na ana malengo.
Nilimhoji, nikaelewa kuwa ni mgeni maeneo hayo ametokea mikoa ya Kaskazini...
Tatizo ni wewe hujui Siasa! Hiyo ndio Siasa Kaka. Ulitegemea siasa iwe Sawa na lecture room,ulitaka siasa iwe Sawa na semina? Hiyo ndio Siasa..unasema hili,mwenzio anakuja kusema lile ulilosema kwa namna nyingine ...wananchi wanaachiwa jukumu la kutafsiri.
Nakuhakikishia kwamba kama siasa...
Mimi nitakwambia biashara inayoendana nami ..Wewe buni biashara inayoendana na wewe..Then wekeza muda wa kutosha kufanya utafiti wa kujua wapi utaweka ofisi yako,wapi utanunua bidhaa zako. Then anza..
Ukianza achana na matumaini kwamba una mtaji wa 5mil. Hiyo yote inaweza kuzama bila kuanza...
DAR es salaam ni jiji kubwa sana..Jiji la Arusha au Dodoma ni Sawa na mitaa miwili au mitatu ya Dsm. Ukubwa wa jiji na uwingi wa watu hutoa fursa pana ya biashara inategemea na wewe unauza nini na unauzaje.
Karibia robo tatu ya watu wa Dsm wanapokwenda kununua bidhaa Kariakoo(hasa za simu)...
Lofa mwingine huyu hapa.
Hata ingekuaje kama Chama kimewateua wasingelishindwa kuwaacha na kuwatetea .CHADEMA kilimtukana Lowasa kwa muda wote wa siasa zake lkn walipoona atawavusha walimteua kugombea uraisi na walivaa kila aina ya ujasiri kumtetea . Watashindwa leo kuwatetea akina Halima hata...
Kama chizi !! Hapo unaunga mkono hoja ipi ambayo kaizungumza? Kama wasingepewa nafasi ya kusikilizwa au kukata rufaa mngesema.
Lkn sasa mmekosa la kusema.
Kwani CHADEMA walikua wanatafuta kuungwa mkono na umma ktk hili? Umma ulishawaunga mkono kabla hawajapewa nafasi ya kukata rufaa.
Ni lini...
Hakuna kitu kibaya kama kuandika au kusema kitu huku umeshupaza shingo kwa kufikiri unajua kumbe hujui chochote.
Kabla ya kuitaja Quran kama kitabu wanachotumia wachawi lazima ujue kama Kiarabu ni lugha kama kilivyo Kiswahili. Kwahiyo sio kila kitabu au anaetamka au kuzungumza au kusoma kwa...
Huna akili kabisa wewe!
Kwani Kikwete alipoanzisha mchakato wa Katiba ..ilikuwepo kwenye ilani?
Halafu nani kakwambia Katiba mpya ni takwa la CCM,kwamba ili mchakato uanze au Katiba iandikwe lazima iwepo kwenye ilani ya CCM?
Kumbe unajua kifo hakizuiliki ndio maana kuna jambazi lilidondoshwa vilevile Kwa ukatili na uhayawani wake.
Mamedy akidondoshwa Kwa kuuawa au vinginevyo atakua amemwondosha dikiteta la CCM B kule.
Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi Condé na kumficha wanakojua wao.
Huyu lofa aliendika hili bandiko Mpumbavu sana...Eti "kikosi komoja tu cha makomandoo".
Ulitaka viwe vikosi vingapi ili uite mapinduzi HALALI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.