Recent content by Ricky1234

  1. Ricky1234

    Mmiliki halali wa Jerusalem

    The history repeat itself!
  2. Ricky1234

    Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

    Hapana ww ndio hujui nimekaa na waislamu tokea udogo wangu hawaangaiki kusubiria adhana ikifika muda wa kuswali wanaswali sasa kwa jinsi ulivyo panic ww ni mwislamu jina yaani unasubiria adhana ndo uswali yaani ww ndio unamambo mengi kuliko Mungu. Ww ndio kafiri mno
  3. Ricky1234

    Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

    Dunia sasa imestaharabika hivyo kwa rwanda kuzuia uharibifu wa mazingira wa sauti nafikiri dini zetu zinatakiwa ziendae na wakati wa sasa maana swali muhimu la kijiuliza ni: je adhana ni muhimu saidi ya SWALA ?
  4. Ricky1234

    Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ( HESLB) imetengeneza chuki kubwa kwa riba ya asilimia 15%

    Iko sawa maana ni mkopo sasa watawezaje kuwasaidia wengine!?
  5. Ricky1234

    Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

    Mtazamo wangu nafikiri Mh Raisi alikuwa anajaribu kuwa sawa na sera ya nje kuhusu demokrasia ilikupata mkazo kutoka huko ila nafikiri angejikita sana kuona namna ya kuiunganisha Tanzania na jamii ya nje hasa kwenye masuala ya kiuchumi na teknolijia zaidi
  6. Ricky1234

    CHADEMA chama cha kidalali na wapiga dili asema Dr. Slaa

    Siasa ya leo imewafagia watu sasa wanatafuta kick ivi kuna mafisadi wangapi wameiba hela na alitakiwa atoe ushahidi kama yuko fair mfano hazina hamna hela alitakiwa atuambie nani ametufanya masikini sio kubeza chadema atusaidii ila minamwona kama hana tofauti na hao mafisadi
  7. Ricky1234

    Kama si Mbowe, basi mtoto wa Mbowe, kama si Kafulila, basi mjukuu wa Kafulila n.k

    Sikushangai. Maana kunawatu bado wanaamini chama ni ccm ni si vingine so hauna kosa kufikiria hivo maana unaonyesha jinsigani ulivyo mkereketwa. Sasa kwa njie mnaomwona tofauti naomba niulize maswali mawili makuu 1: je unakubali tanzani kuwa nchi inayokuwa na siasa za vyama vingi..? 2: je kuwa...
  8. Ricky1234

    Ujinga wa Watanzania...

    Yah kweli maana badala ya raisi kuaddress ishu ya mfumuko wa bei na namna gani ataendesha nchi huku hazina haina hela anaamza kuact muvi za kihindi
  9. Ricky1234

    Ujinga wa Watanzania...

    Kwahiyo ilikua danganya toto au funika kombe mwanaharamu apite..!
  10. Ricky1234

    Ujinga wa Watanzania...

    Kakuta mashine hazifanyi kazi kafukuza bodi nzima wakati hela za kutengeneza wanatoa wizara kupitia hazina. Sasa nashindwa kuelewa aliwafukuza kwa sababu ipi kisiasa ana kiutendaji
  11. Ricky1234

    MADA MOTO: Polepole na Maziku waongelea kama ahadi za wagombea zinatekelezeka!

    Hapa ndo nakubali kuwa ushabiki unafanya watanzania wakose maendeleo na wakose viongozi wazuri. Ukiangalia vyama vidogo vina mambo mazuri na yanayo tekelezeka ila tunaona hawanakitu kwasababu hawana mashabiki acheni huo ujinga utatupoateza
  12. Ricky1234

    Nini kimemsibu Rais Jakaya Kikwete? Mbona hekaheka

    Kinacho nikera na kunitapisha ni ccm kuwa kama wanamipasho inashangaza sana kama mamlaka tumewapa lakini nashanga wamekuwa watu wa kuropoka na maneno ya ovyo vitendo hakuna cha ajabu ni miaka saba sasa huyu wanae muita fisadi yupo nchi hii hii na tena anapeta na bado anakula pesa za serikali...
  13. Ricky1234

    Rais Jakaya Kikwete amekiri Uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu

    Watu wakuwadanganya wapo bara sio visiwani maana huko hawachelewi
Back
Top Bottom