Mwanamke wa namna hiyo aliwahi kutokea kimara baruti ila yeye alikua mtu mzima kiumri msomi mwenye degree mbili, aliishi hivyo hivyo yani kila kitu kinashabihana tuliita kaka zake wakaja mchukua zoezi hilo nililisimamia kama balozi wa eneo husika
Ni kweli sio sahihi kumuita Mstafu, ila isipokua wale wanaomuita Mstaafu wako sahihi kwa uelewa wangu...kwa maana ya matamshi au uandishi wako mkuu..nimerekebisha hapo Mstafu badala ya Mstaafu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.