Hapa kwenye Agent kuna changamoto, Jamaa atengenezi mkataba wa kazi, anatengeneza working permit peke yake..sasa kuna namna bila mkataba kuna mambo kama TAESA utakwama, Airport napo miyeyusho ukiwa unatoka, Pia polish Embassy wanataka na contract. Mimi nimepita Ki Mungu Mungu mkuu..kama unataka...
Nitawa update,
Wapuuzi hapa ni wengi wanaongea mambo mengi wasiyoyajua..
Europe ni sehem nzuri kwa wasio na fani..
Kama una michongo yako inakupa kuanzia 1M komaa bongo,
Kuna shida kubwa watanzania tunanyimana fursa..huku wamejaa wakenya,wanyarwanda na wazimbabwe.
So far kampuni ya watu 1000+...
Shida sio Agent shida ni visa,
Google ama atleast angalia hata YouTube, ama nenda polish embassy jumatano na ijumaa ukaone visa denied [emoji58] utaelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.