Mmmmmh hzo porojo tuu.... Huwez fight drugs kwa namna hii.... Atafute documentaries angalie how difficult to fight without any budget.... Hatutaweza hata chembe
Maoni yangu tuu: Kama kawaida ya Google inatoa misaada mingi, Leo nimejaribu kuwauliza gharama za hizi ndege mbili yaani bomb Q400 na Airbus a300-200 katika price na capacity, nimechoka.
Airbus a300-200...... 715 passengers capacity
Bomb.... Q400........ approximately 76 passengers capacity...
Yaani mnasapoti kujitegemea wakati hata dawa mnahitaji msaada ndio mzipate??? Jiulize kiasi gani mnakusanya kujitoshereza.....miundo mbinu gani mmejenga kwa pesa zenu???? Mnasema mna wataalamu wakati taft hata za kilimo wanafanya watu wa ulaya.... Mnashndwa kutatua matAtizo makubwa haya madogo...
Yaani mnasapoti kujitegemea wakati hata dawa mnahitaji msaada ndio mzipate??? Jiulize kiasi gani mnakusanya kujitoshereza.....miundo mbinu gani mmejenga kwa pesa zenu???? Mnasema mna wataalamu wakati taft hata za kilimo wanafanya watu wa ulaya.... Mnashndwa kutatua matAtizo makubwa haya madogo...
Yaani mnasapoti kujitegemea wakati hata dawa mnahitaji msaada ndio mzipate??? Jiulize kiasi gani mnakusanya kujitoshereza.....miundo mbinu gani mmejenga kwa pesa zenu???? Mnasema mna wataalamu wakati taft hata za kilimo wanafanya watu wa ulaya.... Mnashndwa kutatua matAtizo makubwa haya madogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.