Vijana tuamke na kumsupport Rais wetu

Vijana tuamke na kumsupport Rais wetu

ungekuta umepiga hata bao moja kuliko kutuandikia uchafu huu
 
Nakuunga mkono,nipo tayari kubeba sululu,jembe na kila zana zinazohitajika ili tuzibomoe barabara zote,tung'oe nguzo zote za Umeme na kuharibu miradi yote iliyijengwa kwa fedha za wahisani.Hatuwezi kuendelea kuwa wapumbavu wa kutumia miundimbinu iliyojengwa kwa fedha za wahisani wakati tuna uwezo wa kujenga kwa fedha zetu za ndani.
Unaakili sana!
 
nimelima.nyanya niliishia kuwapa ngo'mbe kama kachumbari, mwambie huyo rais wako ajenge viwanda vya kutosha tuanze kuexport kuliko kuiport
Aisee umenichekesha sana japo sio swala la kucheka ,kachumbari na ng'ombe haha
 
Bajeti ijayo ya Nini,ina maana binge lililopita hawakutenga hela kwaajili ya ajira mpya?? Kama walitenga zimeenda wapi?? Afu nimesema anijibu urais sio wewe mkulima wa kawaida hujui lolote....siwezi kusapoti ujinga
mwaka wa fedha ni july. ya last yr ilikua ya awamu ya 4 bajeti ya 1 ya awam ya 5 ni next jly.
 
serikali ilitambua hili kitambo; imejipanga; bajeti ijayo itasema kila jambo.
Unaonekana dhahiri ni kiwavi.... Maisha na fikra zako ni fupi sana....

Umeulizwa ajira za walimu zilikuwepo kwenye budget ya mwaka huu zimeenda wapi? Maana huu ni mwaka wa fedha haujaisha!! Unaleta hadithi za kujipanga!! Na wahitimu wa mwaka mpya wa fedha unaoanza July wataajiriwa lini?

Mnaishi kwa mizuka na viwavi wanavyoishi kwa utepe wa mimea!!!
 
ya kwako ni yapi
wooh! kumbe ni wewe. Usijisikie vibaya kukosolewa mkuu..

Tuachane na Racism. Kwakua Obama ni rais wa wazungu.
Mambo yamebadilika sana
Madai ya wazungu na MCC ni sahii kwetu. Hapa wazungu wameonesha kutujali sisi tabaka tawaliwa.
Kimsingi Demokrasi aliyotufanyia wazenji ,na hizo madai nyingine ni KWELI tumeonewa na huyu Rais wetu. It was unfair election.
Uhuru wa habari una Mushkeli..

Na probably mengi yatakuja .... Huo moyo wako wa kumuunga mkono unaweza kuyayuka huo tuendako...

Tuvute subira, tusimsifie mgema akaitia maji tembo.


Dunia ni kijiji kimoja, tusidanganyane. Kila taifa linahitaji jingine ..

Hii ni natural law.
Kusimama wenyewe in a long run, ...Jeuri hiyo hatuna.

Mabadiliko tuliyoyaimba wakati wa kampeni yanaweza kuwa postponed for the next generation..

Ili tuendelee
Tunahitaji
Good gavance
demokrasi
freedom of speech,
Rule of law
strong and effective opposition political parties.

Utaona kuna vitu huu utawala umevi ruined.
 
Yaani mnasapoti kujitegemea wakati hata dawa mnahitaji msaada ndio mzipate??? Jiulize kiasi gani mnakusanya kujitoshereza.....miundo mbinu gani mmejenga kwa pesa zenu???? Mnasema mna wataalamu wakati taft hata za kilimo wanafanya watu wa ulaya.... Mnashndwa kutatua matAtizo makubwa haya madogo mtayaweza kwel.....kweli vchwa panzi. Ulizeni Zimbabwe ndio mtajua maana ya ushirikiano.
Mnaowafukuza wasiwape hyo misaada wanavuna kila kitu kwenu dhahabu, almas tanzanite n.k lakin nadala ya kudil na mikataba ya lasilimal mnakataa mikataba et mnajiweza??
 
Yaani mnasapoti kujitegemea wakati hata dawa mnahitaji msaada ndio mzipate??? Jiulize kiasi gani mnakusanya kujitoshereza.....miundo mbinu gani mmejenga kwa pesa zenu???? Mnasema mna wataalamu wakati taft hata za kilimo wanafanya watu wa ulaya.... Mnashndwa kutatua matAtizo makubwa haya madogo mtayaweza kwel.....kweli vchwa panzi. Ulizeni Zimbabwe ndio mtajua maana ya ushirikiano.
Mnaowafukuza wasiwape hyo misaada wanavuna kila kitu kwenu dhahabu, almas tanzanite n.k lakin nadala ya kudil na mikataba ya lasilimal mnakataa mikataba et mnajiweza??
kwani unafikiri tunaanzaje? kwa kia na kila kit
 
mwaka wa fedha ni july. ya last yr ilikua ya awamu ya 4 bajeti ya 1 ya awam ya 5 ni next jly.
Hyo bajeti ya mwisho ya awamu ya nne iliyopitishwa kwa ajili ya ajira za waalimu zimenda wapi hilo ndio swali.
 
Vijana wenzangu sisi tunatengeneza zaidi ya asilimia 60 ya idadi ya wakazi wote wa Taifa letu.

Babu zetu waliishi kwa dhihaka, dharau,amri, viboko na kila aina ya udhalilishaji. Tatizo ilikua ni ukosefu wa elimu.

sasa tumeenda shule kwa elimu waliyotupa wao, tunajielewa.

Rais wetu anasema kua haoni haja ya kuendelea kuomba wakati tuna kila kitu. Mungu katupendelea.

Sisi ni nguvu kazi ya Taifa hili. je ni sahihi kwa sisi kuendelea kuishi maisha ya babu zetu ya woga na kutojiamini?

Lini tutaachana na huu ujinga?
Lini tutaona umuhimu wa kujitegemea?

Tufanye kazi kwa kujenga nchi yetu.

Vizazi vijavyo vitapima busara zetu kwa maamuzi tutakayofanya leo.

Mpe sapoti wewe mwenyewe na ndugu zako wengine sie hatuna muda
 
Back
Top Bottom