Nashangaa kuona Kuna kingamuzi Cha 34000 Mimi chakwangu kilisumbua kilikua kinaandika no signal nikapeleka ofisi zenu wakasema kinatengenezeka nilipe hela ya ufundi nikkakubali baada ya wiki nafatilia naambiwa lbd ninunue kingine kwa 79000 nikapiga cm cm kwenu kulalamikia nikijua ntapata msaada...
Sasa utagimbana na wangapi mze achana nae kakosa sifa za kuwa mke mtarajiwa lkn fahamu hili hapo alipo anahaki yakumchagua mtu ambae anaona kuwa anampa kile kinachomfrahisha ndani na nje cyo ujisifie tu kuwa unajua kukoroga sana kama anapenda ucheshi nihaki yake apate acha ubabe mapenzi nizaidi...
Jeshi la polisi limepelekewa taarifa wamkamate mtu alievuruga mnada wametimiza wajibu wao amevunja sheria za mnada ikiwa unavielelezo vingine kwamba yono wanahusika kuvunja mnada ule unapeleka na wenyewe wabakamatwa
Tunapata shida sana kuwaelewa kila nyakati wao nikukosea sina shaka na ushauri wao shaka yangu nipale itakapotokea serikali ikafanyia kazi watakosoa pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.