Sikulazimishi uamini. Wewe ndio reasoning yako ina shida. Sijataka kutaja kiundani background yake na aina ya shughuli anazofanya ambazo zimempa exposure kwa hizi NGOs. Na unadhani tegeta alikuwa anapanga nyumba ya kawaida???? Au unadhani anajenga nyumba yake ni ya kawaida?? He is not your...
Sijui kuhusu huyo uliyemtaja lakini kuna mtu ambaye ni kama rafiki kwangu aliniambia yupo in dillema kwa sababu amefuatwa na watu wa nje kumuhaidi hela nyingi ili kuandika tafiti na makala za kuchafua serikali. Ni mtu aliyekuwa hata kulipa kodi ya nyumba huko tegeta ilikuwa inakua shida sana...
Matumizi ya vidonge vya majira ya muda mrefu pia hukimbiza uzazi. Hao wote uliowataja walizaa kabla. Hofu ya kuwa stuck na watoto kadhaa bila ndoa kama unavyosema inaweza ikawafanya watumie sindano na vidonge wakisubiri ndoa rasmi. Na ndoa ikija ndio hapo uzazi umeshakimbia. Hili tatizo hukumba...
Levels zenu za imani ni tofauti sana. Hamuwezi kuelewana. Ubishi wa kiimani ni kupoteza energy for nothing. MUNGU azidi kukuongoza na kukujenga zaidi kwenye imani. Niishie hapo mkuu.
Unachosema ni sahihi. But That does not justify kuondoa/kufupisha uhai wa mtu kwa sababu ya mali. Hizi rumours zinazo endelea na jinsi anavyo behave kwenye msiba na kabla ya msiba ndio inaleta dosari. Mbona wamekufa watu mashuhuri na wenye pesa wengi na hatujawahi kusikia mambo tunayoyasikia...
Nakubaliana na hili. Mjini watoto wanachungwa sana na kulelewa kwenye geti kali. Shule wanapelekwa na basi la shule. Maji yapo bombani hawaendi kuchota kisimani. Mjini matunda yananunuliwa sokoni na juisi wanakamuliwa kabisa hakuna haja ya kukwea miti kuchuma matunda. Besides, miti yenyewe ya...
Inategemea na hali ya mgonjwa. Kama kuna mambo mengine hayako sawa hawawezi kumfanyia surgery yeyote mpaka awe stable. Kuna ndugu yangu nilimpeleka India for a heart surgery. Kufika tukaambiwa pia alikuwa ana shida ya figo ndio maana mwili ulikuwa umevimba sana. Kwa hiyo wakaanza stabilization...
Tangu saa saba nipo macho nimeshindwa kabisa kulala kwa kwa sababu ya combination ya joto na mbu!! Wenye Dar yenu mmezoea. Sie wa bara ni TABU kupita maelezo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.