Recent content by Richbest

  1. R

    Swali kwa Mliooa wanawake wenye watoto

    Hiyo haijalishi....unanunuaje shamba lenye mgogoro?
  2. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Na ningekupaje maendeleo yangu@ mzizimkavu wakati tayari ulishindwa kutoa ushirikiano kwa kuwa mkali ?, jaribu kuvaa viatu vya wenzako MTU ninaumwa nimejichanga kwa shida kukupa pesa ya matibabu( ambayo kwako unasema Ni pesa ndogo, sijui unafahamu niliipataje?) halaf nakueleza Hali yangu unakuwa...
  3. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Ushindwe na ulegee kabisa na sitokufa nitaishi na huna uwezo wa kuniua kwa ulozi wako huo na Kama huna makandokando kwanni umekuja private kunitukana mimi na mama yangu .kwa taarifa yako hakuna wa kunituma Mimi nikuchafue wewe ili nipate faida gani sikujui hunijui? Na ukumbuke nilikaa kimya wewe...
  4. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Kwa majibu haya kwa MTU ambaye nimekujibu vzr na kukaa kimya kukuheshimu na nikikumbuka tone yako ya kibabe ya kumfokea MTU usiyemjua aliekupa 470,000 plus za kutolea naanza kuamini wewe SIO DAKTARI NA UPO KUTAPELI WATU ILA ENDELEA TUU NA UNAFIKI WAKO HUO KWA KUJIFANYA UNAMTAJA MUNGU NA KWA...
  5. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Nb : kwa wakati huo uliniambia haupo Tanzania na hata namba tuliokuwa tunatumia kuwasiliana ilikua sio ya Tanzania
  6. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Asee Pole Sana ndugu yangu
  7. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Ilikua mwaka 2018 tulianza mawasiliano hapa Kisha ukanipa namba ya kutuma pesa ilikua 470,000 Tena pamoja na ya kutolea Kisha nilitumiwa hizo dawa Ila hazikunipa nafuu nakumbuka nikakujulisha ukanijia juu kuwa Sina subira nataka nione matokeo mapema then sikukutafuta Tena na hata nilivomaliza...
  8. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Asante Dr Ila nimeshatumia pia dawa zako Ila hazikunipa msaada wowote , ilikua mwaka 2018 najua sio rahisi kwako kunikumbuka
  9. R

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Habari za usiku wapendwa, Nimekuwa na tatizo la maumivu ya mgongo (upper back pain) kwa zaidi ya miaka mitano Sasa chanzo ikiwa Ni ajali ,hivi karibun nimepima x-ray na MRI na imeonekana mgongo wangu umenyooka (ingawa ni kwa kiwango kidogo) badala ya kuwa na curve. Nimetumia dawa na kufanya...
  10. R

    Rais Samia muondoe DAS wa Arusha

    Hakuna uonevu hapo...mtoto Hana adabu anapelekaje malalamiko serikalini dhidi ya make?
  11. R

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Ukipata hela gari kwanza sasa wewe jenga tuone Kama utaenda NATO posta
  12. R

    Hvi sitapona tena jamani? Daaahh

    Asante ndugu yangu
  13. R

    Hvi sitapona tena jamani? Daaahh

    Jibu LA swali hili pia litasaidia kupata dawa ya tatizo?
  14. R

    Hvi sitapona tena jamani? Daaahh

    Nilipigwa Mkuu na fimbo.. ntafurahi kupata msaada
  15. R

    Hvi sitapona tena jamani? Daaahh

    Asante Sana Dr nafanya hvo
Back
Top Bottom