Habari wadau nina gari ya suzuki jimny, ni manual transmission,
Kawaida ukiwa unaendesha na ukifika kati ya speed 70-80 huwa inatetemeka. Ila ukipita 80 na zaidi inatulia na kuwa kawaida, kwa wataalamu mnaweza kujua tatizo ni nini? Au kama mtu yoyote ameshawahi kukumbana na tatizo hili, msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.