Ni aibu sana waziri wa serikali tena ya jamuhuri ya muungano mbaya zaid wa TANZANIA anasimama hadharan na kudanganya umma mwaka mzima yeye anadanganyaga tuu tena ni mbunge na anawazazi na watoto daaa ningekuwa mm ningekosa aman hata kujifungia chumbani peke yangu.
Kiujumla tushachoka hatutaman sana kusikia ajira, graduates tunatumika kiki kuendesha siku mbele za wanasiasa wasioenda na wakati na kutoa matamko mengi tofauti tofauti.
kuto kumwamini mtu si dhambi wala kesi chamsingi tumwamini mungu pekee kwakuwa vijana wetu tangu waaminishwe mvua itanyesha ndo kwanza jua linazidi kuwa kali mwenye akili kasha nielewa.
Nawashukuru sana wachangiaji wengi wamekomaa kiakil nadhan tutoe dhana ya kuwa prof au dr. ni kujua kila kitu na ndo maana wasomi wa level kama ya mwakyembe wanapinga na wengine wanasupport ila tujijenge kwene ukweli katiba inasemaje.
Mimi bnafsi tusha andamana bila kibali kwa kweli tulipigwa, lakin pia kuna wakati tuliandamana kwa kibali cha police na tukapewa escote na police sijui lakin utaratibu wa siku hizi.
We should be carefully guys kwa kuwa hizi issue za migogoro ya nchi za weusi mara nyingi hutengenezwa na jamaa wekundu japo sijasema kuwa ndo iko hivyo ni uzoefu tuu ndo unatumika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.