Recent content by Richard lugusi

  1. R

    Ufafanuzi wa Nape juu ya TBC kubadilisha utaratibu wa kurusha LIVE matangazo ya Bunge

    NI BORA NICHEZE KIDALIMPOO SAA 4 USIKU NA MKE WANGU KULIKO KUANGALIA EDITING YA BUNGE TBC SASA NAANZA KUAMINI KUWA NCHI IMEWASHINDA ASUBUHI NA MAPEMA Watz bado sana, wapo radhi wavutane kiitikadi kuliko masilahi ya nchi, Wananchi wana HAKI ya kupata habari kutoka katka media ya Umma, na...
  2. R

    Mawio newspaper permanently banned with effect from January 15th, 2016

    Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod
  3. R

    Ni miezi minne sijapata mshahara

    wameniambia ni technical errors kwenye utumaji taarifa
  4. R

    Ni miezi minne sijapata mshahara

    Ndugu wanajamvi mm ni mwalimu ajira mpya nimeripoti tarehe 3/5/2015 hapa kituoni na tangu kipindi hicho mpaka sasa sijapokea mshahara nifanyeje? Naombeni ushauri!
  5. R

    Siasa iko CCM, wengine wasindikizaji

    wewe demu umetumika huko leo hii unajitokeza kukishabikia hicho chama ili uonewe huruma upewe ukuu wa wilaya nn
  6. R

    hv post za awamu ya pili ualimu ipo?

    Wasalaam wanajamvi mie naomba kuulza hv kuna post za awamu ya pili ulimu kwa tuliokosa awam iliyopita
  7. R

    Kili Music Awards: Countdown to 13th June 2015

    hapo alikiba ndo atakayechukua
  8. R

    vipi ajira za ualimu mwaka kesho(2015/2016)

    bado hk vijiji hakuna walimu kbsa
  9. R

    Nina supp diploma na jina limo ajira mpya, nikaripoti?

    kivp nisipoteze nauli wakat majina yetu yote tulisap dip 2014 yamo kwenye ajira
  10. R

    Nina supp diploma na jina limo ajira mpya, nikaripoti?

    Ndugu wanajamvi naomba kuuliza katka ajira mpya hii hata sisi tuliopata supp tumo kwenye list ya majina mapya je tufanyeje tukaripot na sisi na je hatutakutana na vikwazo hko halmshaur? Msaada jamani wa kimawazo!
  11. R

    TAMISEMI kuachia mzigo usiku

    ndg wanajamvi kwa taarifa nilizozpata muda huu ni kwamba kuanzia muda uwe unatembelea website mara kwa mara coz mzigo utatemwa kuanzia leo usiku.source ofisi ya tamisemi dodoma
  12. R

    Tuwe wakweli: Diploma vs Degree kwenye ualimu

    samahan wadau naomba kuulza hv kati ya digrii na dip ktk ajira ngaz ipi huwa wanaachwa kuajiriwa?
  13. R

    Walimu wenye somo moja la kufundishia wataajiriwa?

    enyi wana jamv kuna kajambo fulan kananitatiza mwenzenu mpaka nakosa raha yaan hapa maskan kuna mdogo wang kasoma psychology na somo moja la kifundishia la kiswahili pale TEKU na je kwenye ajira za mwaka huu anaweza akaajiriwa?mnisaidie kwa mawazo wadau
  14. R

    Hatimaye serikali kuajiri walimu 34000 Mwezi huu April 2015

    kk hyo ni jumla na wale waliorudia paper mwaka huu bro hahahahaaaa
Back
Top Bottom