Mkuu ki ufupi umeharibu sana
#Umeharibu familia mpaka watoto watakua bila malezi ya wazazi wote wawili.
#Umehalifu family iliyokuwa unaishi kwa furaha na amani
#Umeharibu future ya jamaa Sasa jamaa itakuwa kama anaanza upya maana katika kuachana watagawana Mali.
Umeharibu future ya mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.