Hivi unadhani maisha mazuri ni pesa pekee, fikiria hao wazaz unaosema watafaidi kisa kutooa wangeamua hayo ungezaliwa pamoja na hao wadogo zako!!!!!!?????? La hasha.
Sitatenda haki nisipo kuunga mkono nataka niudabanishe usajiri huu kama wa kupaniki tunaenda kuua upinzani kwa kuruhusu watu ambao juzi tu tulipigana na kuwasema wachafu leo tunaanza kununua sabuni kuwaosha tumesahau lilipikiwa haliishi shombo daaa nimeumia sana kama kijana na ninauona usariti...
Nahis hata spare hamtazipata maana gari hili lilipata ajali 2007 fundi toka uingereza alisema haliwezi kutenezwa tena labda kununua jipya kwa dalili ilivyo nkikuuzia litakuua tahadhali kabla ya shari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.