Hiki ni kiini macho tu kwani nikiangalia picha zote naona mpigaji ali select vitongoji vichache sana almost ni viwili au vitatu tu hivyo ni ngumu ku generalize kwamba Kigali yote ni safi au nzuri kama swala la vitongoji visafi au vizuri hata DSM vipo vingi sana na tukiamua kupiga picha basi...
Kipi kinachokufanya kuikashifu dini hii? Kwa sababu ya Alshabaab, Al-qaeda au wanaharakati wengine? Wote hatupendi mauaji ya watu wasio na hatia duniani na M/Mungu amekataza kabisa kuuwa nafsi isiyo na hatia. Lakini kwanini unakimbilia kuuhusisha uislamu na hizo harakati za makundi mbalimbali...
Katu Mmarekani hawezi kupambana na uislamu bali anapambana na waislamu. Uislamu ni mfumo aliouweka Mwenyezi Mungu na hauwezi kufutika mpaka mwisho wa dunia hata wakiwaua waislamu wote duniani wajue mfumo utabakia tu na mwisho wa siku M/Mungu atahukumu kwa kuufuata mfumo huu.
Tv coverage ipi munayoitaka nyinyi masaa yote tv zetu ziwe zinaonyesha tukio la kenya tu? Mi nimeona mara kwa mara ITV imekuwa ikijiunga na BBC kuonyesha kinachoendelea Kenya
Mguu ulishaota tende kwa wapinzani wanaodharau mwiba mkali JK. Mwaka huu wapinzani hawana kitu Watanzania tumeshawadharau wafanyafujo, wanafiki, makahaba wa siasa, wahuni na wachochezi hawa wanaojiita wanasiasa makini.
Ofisi yako ipo Kigali je ya Watanzania yanakuhusu nini. Tunasafisha nchi yetu ili tubaki wenyewe tu tumechoka wageni. Hatutaki tena kupendwa tunataka kuchukiwa tu ili musije kwetu
Mi huwa nashangaa sana kila siku hapa jf nawaona wale washabiki, wapenzi na wanachama wa Chadema wamejaa chuki, jazba, matusi, maneno ya kukera, uongo na uzushi na kukosa uzalendo. Hivi hii ndiyo hali halisi ilivyo ndani ya chama chao au ni kukata tamaa?
Upo sahihi mkuu umenena kweli. Hiyo ni njama ya waziwazi ya kukwepa kodi. Hivi wewe kwani unawaamini hawa viongozi wa chadema wanachokisema hadharani ndicho hali halisi
Akili yako ipo chini ya mgongo wako kwa nyuma badala ya kichwani. Umezaliwa vichochoroni umejifunza matusi mpaka unazeeka nayo. Jifunze ustaarabu wa watanzania
Nakubaliana na hoja yako kwa zaidi ya asilimia mia moja. Tuache tabia ya kundekeza udhaifu udhaifu tu eti kisa sisi ni wapenda amani. Hapana. Huu kuomba usuluhishi itakuwa ni muendelezo wa huo ujinga wanaotuita. Tanzania ni taifa ambalo tulipaswa tujitutumue juu ya wajinga wajinga wote ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.