Niko nang'ang'ana kufanya application ya education, nilifanya ya health, wananiambia tayari Niko registered sasa nifanyeje wakuu? Ina maana hawaruhusu Ku apply education wakati ume apply health?
Niko nang'ang'ana kufanya application ya education, nilifanya ya health, wananiambia tayari Niko registered sasa nifanyeje wakuu? Ina maana hawaruhusu Ku apply education wakati ume apply health?
Kweli we bango jeupe! Eti Kiwanja kipo mbagala kina hati...So? Hata kimara kipo vilevile,,,,sijajua we ni Dalali au kichaa, maana una report uwepo wa Viwanja, kesho utasema ..Watu wapo kariakoo...pambaf sana
Wanawake ndo walivo kama anakupenda na yuko na mtu, wewe anakuweka kama reserve(rejea mechi ya simba ya jana) inamaanisha alie nae anampenda ila haeleweki kwa hiyo wewe ni reserve ili akitemana na jamaa yake, awe na wewe kwa kuwa ameona una upendo wa dhati, sasa anataka wewe uwe active...
hapa cha muhimu nilichokiona ni kwamba umekopa gari na unatoa taarifa, afu ww ni wa kwanza kununua gari kwenye ukoo wenu full stop...ngoja niendelee na kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.