Recent content by Rexwinton

  1. R

    Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

    Chukua kijiti simama kwenye mlango wa kutokea nje kwenu. Katikati ya mlango umegeukia ndani yani kisogo ndo kinaangalia nje halafu shika kijiti nyuma ya kisogo Anza kikivunja huku unanuia “nazuia mtu yeyote asinione” kila unapovunja kijiti nuia. Vunja mara saba na nuia mara saba kwishaa.
  2. R

    Daladala zimekuwa kero

    Daladala siku hizi zimekuwa kero nyingi hazipo in good condition. Siti mbovu zimebanduka banduka. Nyingine hazina siti kabisa bio baadhi ya vioo vimebanduka, bado uvaaji wa makondakta ni wa ovyo lakini pia kauli zao chafu hazifai naomba uongozi ufuatlie hili suala kwa kweli
  3. R

    Maisha yangu yamefungwa, mbele naona giza

    Uamke kila asubuhi(saa 11 mpaka saa1)na useme Yah Allah,Yah Rahman,Yah Hafeedh. Utasema mara mia moja.Na ikifika jioni Rudia tena mara mia moja..walah utakuja kunishukuru nipo nimekaa pale… ukitaka maujuzi mengine kama haya nifuate pm….
  4. R

    Qatar inawaponza waarabu wengine

    Huenda kwa sasa wakaonekana ni mashujaa wa kiislamu baada ya kuchachamaa sheria zao hasa za dini zisivunjwe wala kuingiliwa na utamaduni wa magharibi kama ushoga, ulevi,tattoo nk. Lakini nawaambia kaeni mkijua hili kombe likishaisha msahau kabisa ili kombe kurudi tena kwenye nchi yoyote ya...
  5. R

    Ushamba wa Wabara una Ujanja kuliko Ujanja wa Wazaramo au Wapwani

    Hamna watu washamba kama watu wa pwani. Inanyanganywa ardhi yao. Ni masikini wa kutupwa
  6. R

    Shekh aliyeshitakiwa kulawiti watoto 22 Arusha ashinda kesi, aeleza kwa uchungu

    Nani anawachafua serikali hii yenu mnadhani mtashindwa kuachiwa hata kama mnahatia. Licha ya ubinafsi mlionao awamu hii mmejazana wengi sana serikalini na ndio mnaotutia umaskini
  7. R

    Tulikata miti takribani milion 3 tujenge bwawa la umeme leo hatuna maji wala umeme!!

    Mbinu za kudhoofisha mradi. Kama ilivyo kampeni ya kudhoofisha miradi yote aliyoiacha magufuli
  8. R

    UTABIRI: Argentina huenda ikatwaa Kombe la Dunia 2022 Qatar

    Ni ENGLAND ndo anachukua bhana wamemsacrifice queen for world cup na sio arsenal kama wanavyosema. Sio hivyo tu hata euro ya mwaka jana England walisacrifice euro for world cup huku Italy aki sacrifice world cup for euros. Uchawi tu
  9. R

    Hakuna wa kumzidi Lunya kwa sasa

    Soft rap ndio mziki wa kibiashara na ndo inafanya vizuri kwa sasa hizo hiphop ngumu mtaishia kusikilizia getto na masela tu. Nakupa mfano east Africa ukitaja Rapper bora bas ni Kaligraph jones hakuna ubishi na je yeye anarap kwa style gani? Hakuna ubishi tym changes. Huu ni wakati wa lunya
  10. R

    Hakuna wa kumzidi Lunya kwa sasa

    Tuukubali ukweli kwamba kila nabii na zama zake. Tuliona miaka ya elfu mbili mastaa kama Professor Jay, Ngwea, Fid Q, Kalapina, Juma Nature n.k, wakitawala Hip Hop huku Fid Q ndio akivaa taji. Zama zikapita, zikaja zama za 2010, tukaona vipaji kama Roma, Stamina, Young D, Young Killer, Dogo...
  11. R

    Wanawake wanasagana sana siku hizi

    Nimefanya research ndo maana nikaanzisha UZI
  12. R

    Wanawake wanasagana sana siku hizi

    Sio wake za watu,sio ma single mama,sio wanafunzi wa chuo tu.Nowadays Kusagana kwa wanawake kumekuwa kama fashion. Unaweza ona mkeo ama demu wako hana nyege kumbe anasagwa na mwenzie. Imekuwa too much sasa hii tabia ikemewe wadau wangu.
  13. R

    Kuna wa kumzidi Rose Muhando?

    Hivi kuna muimbaji wa muziki wa injili aliwahi tokea kumzidi Rose Muhando, naongelea wote wakike na wakiume? Kwangu mimi bado sijaona! Ukianza na Uwe Macho, Nibebe, Utamu wa Yesu, hizi album zilikuwa ni mwisho wa matatizo aisee!
Back
Top Bottom