Cv, Cv kiyu gani bwana, ni wangapi wanaitwa prof, Dkt lakini hawatusaidii wananchi, wanajaza matumbo yao tu. Tunataka watu wenye uchungu na nchi hii, ambao wenye uwezo mkubwa wa kufikiri na kutatua matatizo kama kina mbowe na Dr magufuli. Waliosoma sanaaaa ndio wanaokula sanaaaa, we do not need...