Yawezekana watanganyika wananyonywa hasa na wazanzibar, watumishi wa umma wa muungano wanailisha zanzibar, juhudi zao za kazi, maarifa na jasho linalovuja sio kwa ajili yao tu bali hata kwa watanganyika.
Mikopo inayokopwa na wakuu wa muungano sio kwa watanganyika tu bali hata kwa wazanzibar...
Kuelekea maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani,wafanyakazi nchini wako kwenye mjadala wa kikokotoo,bima ya afya,nyongeza ya mishahara,kupanda n.k. huku wakikosa umoja na mtetezi atakayesimama kuwasemea ili kufika pale wanapotaka.
Kwa miaka kama tisa au kumi tangu utawala wa Rais...
Shule hii kidato Cha I-VI, shule imepelekewa wanafunzi 400+ wa kidato cha tano huku hakuna miundombinu inayotosheleza kupokea idadi hiyo ya wanafunzi.
Shule ni kama imetelekezwa hakuna anayejali, watoto wetu wanalala chini, umeme hakuna shule ipo gizani wakati ipo porini, shule haina walimu wa...
Miji mingi Tanzania inakabiliwa na kupoteza ubora,nyumba nyingi zinaonekana kuchakaa hususani paa za nyumba nyingi kuonekana kuwa na kutu. Yawezekana ni bati kutokuwa na bati nyingi kukosa ubora licha ya hapa nchini Kuna taasisi ya umma inayoshughulika na ubora wa bidhaa.
Utitiri wa viwanda vya...
Wanachuo wakisup siku hiz wanalalamika mitandaon media zinapiga kelele,wanasiasa wanaunda kamati kuchunguza kwann wanasup,Kwa kuona hivyo hakuna sup sikuhiz,pili wogawa serikali kupoteza Hela Kupitia heslb vyuo wanalazimisha kufaulisha tu,wakija kupata AJIRA utafikir katokea form two na...
Ni kweli,Tangu enz hizoChuo kikuu kimoja tu Cha kiislamu Cha Morogoro na majengo yake tulipewa na JK.Hata hvyo wengi wetu hatuendi kusoma hapo hata dini jirani zetu hawaruhusiw.Bakwata ni majungu tu.
Ukiwa kwenye ofisi za umma,iba uwezavyo.Ukitaka kujua angalia mtumishi wa umma akifariki kabla ya kustaafu,bila michango ya wafanyakazi wenzio mambo hayaendi,sanduku linawekwa kwenye Carrier ya cruiser.Wanasiasa wakifariki Hadi nyumba zao zinakarabatiwa.Uzalendo sio tz
Heslb wamekuwa wakikata hela hovyo Kwa watumishi wa umma hata Kwa watumishi wa umma wasio wanufaika au wanufaika waliomaliza madeni Yao ya Mikopo bila utaratibu.Inaonekana Hawana database ya wanufaika waliomaliza madeni hivyo hurusha jiwe,watakaolalamika ndio wanajua huyo hana hadaiwi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.