Nimeiona hili wakati wa uzinduzi wa bomba la mafuta la Hoima hadi Tanga uliofanyika Chongoleani.Kitendo cha kuwaita wote wawili Mh Makonda na Ruge na kushikana mikono ni hatua nzuri na ya kuungwa mkono,ni wakati sasa wa kuendelea kuangalia na migogoro mingine pia nchini ambayo ni kikwazo kwa...
Ni kweli kabisa,ila mimi ninaona kwamba wanafuata utaratibu ambao utawasaidia huko mbele ili isije kuonekana ina hatua wameiruka. Nadhani watakuwa wamejipanga ili wasifanye makosa,ngoja tusubiri tuone
Ni kweli kabisa ila kwa taratibu zetu waziri ni lazima awe mbunge,sasa nadhani mawaziri wanaangukia kwenye sifa za ubunge,ila kama pia kuna qualifications kwa mawaziri tunaomba pia ziwekwe hapa.Lakini pia anasema alishiriki kwenye utungwaji sasa hatujui ilianza kutumika lini
Ni jina pekee yaani yote matata yamefanana?! Ina maana na taarifa zingine zote pia zimerandana na zako? Hadi hata passport number kama unamiliki passport pia zimefanana!!!
Hii ni kweli, ilinitokea enzi hizo nikiwa darasa la 6 chatu alikamata mbuzi tena alichagua beberu kubwa kabisa, kwa kuwa tayari nilikuwa na ufahamu wa simulizi za chatu niliweza kumuokoa mbuzi kwa kutumia fimbo tu, na ninajua ni jinsi gani chatu alivyo na kasi wakati anajiviringisha anapokamata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.