Habari wanajamvi, mimi ni graduate wa BE electrical engineering class of 2018.
Baada ya kumaliza masomo yangu 2018 niliajiriwa na taasisi moja binasi kama electrical maintainace engineer na baadae nilisajiliwa na bodi ya wakandarasi ERB kama graduate engineer.
Nimeshafanya kazi sasa kwa muda...
Habari za jioni viongozi na poleni kwa majukimu.
Ninaomba msaada kwa yeyote anaefahamu wapi naweza pata hivyo vitu ainishwa hapo kwenye picha.
Mimi ninapatikana Dar es salaam,Tanzania.
1.Siemens Logo Programming cable.
2.Pc to Mpi adapter kwa ajiri ya Lower siemens plcs (S 200, S 300 etc)...
Habari za jioni,
Nimenunua bidhaa ya electronics ya uzito wa 11kg, Kenya na nataka kuusafirisha kuja Dar es Salaam. Kwa wenye uzoefu naomba mnijuze njia ya gharama nafuu ninayoweza kuitumia.
Wasaalam.
Hapo nimekupata,bar inakuwa kama center speaker tu.Kwahiyo unashahuri nitafute tu home theater ? wewe unatumia ipi na ulinunua wapi?
Mjini niliona za sony nyingi ni zile bdv series
Yes ni kweli kabisa,Nina Soundbar ya Sony HT 700 RF ya multchannel 5.1,1000 watts ila output yake sijaipenda.Ninataka soundbar iwe powerfull kama jbl au yamaha etc
Kusema ukweli Home theater ni kwa wale wanaotaka serious audio systems na soundbar ni kwa wale tunaotaka simplicity na good sound tu. Mimi napenda Soundbar na stylish yake kuliko home theater.Sasa kuna soundbar amabazo ni more powerfull ila sijui nitapata wapi kwa hapa Dar es salaam
Msaada nataka kununua soundbar nzuri ya 1000 watts, naomba ushauri wa kitaalam aina ipi ni nzuri na wapi ninaweza pata.
bar ya uhakika. Pia kama wewe ni muuzaji karibu. Bajeti yangu ni 1-2 Million.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.