Mke mwema sio lazima awe mfanyakazi unaweza owa ikawa majuto kwako hana msaada wowote ule wa kimaendeleo ukimuuliza kipato chake atakujibu umenioa jukumu la familia na maendeleo ni lako .kipato chake huna haki nacho tafuta Mke mnayependana kwa dhati achana na mawazo ya familia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.