Recent content by rernest

  1. R

    Mchumba wangu kaanza katabia cha ajabu

    Hiyo ndio tabia take halisi alikuwa ameificha vita muda mpime kwa makini
  2. R

    Gharama ya kujenga chumba na sebule master

    Inatosha na chenji inabaki
  3. R

    Gharama ya kujenga chumba na sebule master

    Vyumba 2 ni tofali 700 bati ni 20 mifuko ya kujengea 20
  4. R

    Mchumba wangu kaenda chuo cha polisi

    Hana mpango nawe wa maisha jambo jema amekuficha atakunyanyasa sana
  5. R

    Mchumba wangu kaenda chuo cha polisi

    Acha wenzako wajilie keki tafuta mwingine
  6. R

    Familia imeniambia nisioe mwanamke asie na kazi ya Serikalini eti atanitegemea sana. Je, ni sahihi?

    Mke mwema sio lazima awe mfanyakazi unaweza owa ikawa majuto kwako hana msaada wowote ule wa kimaendeleo ukimuuliza kipato chake atakujibu umenioa jukumu la familia na maendeleo ni lako .kipato chake huna haki nacho tafuta Mke mnayependana kwa dhati achana na mawazo ya familia
Back
Top Bottom