Recent content by Rene Jr.

  1. Rene Jr.

    Usiache kununua ardhi. Niliyojifunza Goba sikufanya makosa Madale

    Ni kweli mkuu, utapata kwa bei juu kiasi lakini si haba
  2. Rene Jr.

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Hongera sana ndugu, naona milioni 60 yako mpaka sasa ni zaidi ya 240m
  3. Rene Jr.

    Nahitaji mshirika wa biashara ya usindikaji unga wa sembe

    Sasa watuu wataweka details zote hapa? Terms ni kati yake yeye na mwekezaji ambaye atakuwa yuko tayari, watakaa chini watajadili namna nzuri ya kufanya.
  4. Rene Jr.

    KERO Kutolipwa na serikali kwa wakulima wa mahindi Kanda ya Songea

    Mimi nadhani haya ni matokeo ya kisiasa yasiyo na tija kwa mkulima . Kuendekeza sera za ujamaa kwa mkulima na katika dunia ya kibepari ni kuwatia umaskini wakulima. Sasa hivi kilimo ni biashara, hata mazao ya chakula ni biashara pia. Kufunga masoko ya nje ili kulinda "mlaji" wa ndani ni...
  5. Rene Jr.

    KERO Kutolipwa na serikali kwa wakulima wa mahindi Kanda ya Songea

    Mkuu, bora hata huyo ambaye hakurudi kabisa. Shida ni kwa yule ambaye alijichanga akaamua kurudi kwa matumaini kwamba pesa itamkuta kwenye hatua labda ya palizi au ya mbolea. Mtu anajikusanya kwa nguvu zote ananunua mbegu, analima, anapanda, anapalialia....hapo kwenye mbolea ndiyo keshaanza...
  6. Rene Jr.

    KERO Kutolipwa na serikali kwa wakulima wa mahindi Kanda ya Songea

    Watu wanaogopa, usije kujikuta matatani kwa sababu ya kudai kimilioni kumi chako.
  7. Rene Jr.

    KERO Kutolipwa na serikali kwa wakulima wa mahindi Kanda ya Songea

    Sasa utamuuliza nani ndugu? Maafisa wa NFRA watakwambia hawajaletewa pesa, wanasiasa watakujibu kiasiasa, kikubwa ni kwamba toka mwezi wa tisa mwaka jana kuna wakulima hawajalipwa pesa zao. Wengi wamepata hasara mashambani sababu pesa ya pembejeo iko NFRA.
  8. Rene Jr.

    KERO Kutolipwa na serikali kwa wakulima wa mahindi Kanda ya Songea

    Hawana hata mpango, hata kuzungumtia tu, hata kutoa ufafanuzi kuwapa matumaini wakulima. Hapo ndiyo mtamkumbuka Bashe na janjajanja zake lakini alitufaa,
  9. Rene Jr.

    Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    Nyie watu huu ushauri sjuwi huwa mnautoa wapi. Mahitaji ya mkonge ni makubwa kuliko uwezo wa nchi kuzalisha. Yaani mtu mpaka amenunua shamba amepanda zaidi ya eka 60 unafikiri hajafanya utafiti?
  10. Rene Jr.

    Je, wajua nusu Hekta unaweza kuvuna gunia hamsini za mahindi?

    Mwanzo nilidhani anamaanisha Nusu Hekta, ambayo ni sawa na ekari moja na kidogo, hiyo inawezekana bila shaka. Lakini kwenye comment amekuja kufafanua kwamba alimaanisha nusu ekari, hapo ndiyo amejidhihirisha kwamba hajawahi kufanya kazi ya kilimo hapa Tanzania.
  11. Rene Jr.

    Natafuta miche ya mwarobaini wa kisasa

    Wewe unafahamu anataka kupanda wapi? Sisi mashambani tunaofanya kilimo organic hii ni miti ya lazima sana shambani.
Back
Top Bottom