Huyo ni wewe sasa. Binadamu tunatofautiana malengo. Mfanyakazi akijenga nyumba, gari ya kutembelea na mradi wa kufuga kuku anahesabu amestaafu kwa mafanikio, wakati mwingine anaishi nyumba ya kupanga na anazungusha mamia ya mamilioni anasema hana uwezo wa kujenga
Wenye uwezo wa kulipia shule za gharama sana ni wenye pesa nyingi sana, wewe kumshauri mtu mwenye pesa sana asipeleke mtoto shule ya gharama sana utakuwa mjinga sana. Btw, Moh amesoma shule ghali kuliko zote Tanzania, Rostam amepeleka watoto wake shule ambazo ada ya mwaka ni sawa na mshahara wa...
Sasa watuu wataweka details zote hapa? Terms ni kati yake yeye na mwekezaji ambaye atakuwa yuko tayari, watakaa chini watajadili namna nzuri ya kufanya.
Mimi nadhani haya ni matokeo ya kisiasa yasiyo na tija kwa mkulima . Kuendekeza sera za ujamaa kwa mkulima na katika dunia ya kibepari ni kuwatia umaskini wakulima. Sasa hivi kilimo ni biashara, hata mazao ya chakula ni biashara pia. Kufunga masoko ya nje ili kulinda "mlaji" wa ndani ni...
Mkuu, bora hata huyo ambaye hakurudi kabisa. Shida ni kwa yule ambaye alijichanga akaamua kurudi kwa matumaini kwamba pesa itamkuta kwenye hatua labda ya palizi au ya mbolea. Mtu anajikusanya kwa nguvu zote ananunua mbegu, analima, anapanda, anapalialia....hapo kwenye mbolea ndiyo keshaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.