- Thread starter
- #21
Hebu weka hapa fisabiliti analisis ya hii fursa
Kwa Maelezo Zaidi Tuwasiliane 0626825468 SINGIDA
Hebu weka hapa fisabiliti analisis ya hii fursa
Hii ndio muhimu kuliko zoteHalafu utaratibu wa kutemana ukoje?
Yaani tutakuwa pamoja au biashara ikichanganya tunaanza kusagiana kunguni?
inshort Biashara ya Uwakika Hii Ndio imenifikisha HapoHebu weka hapa fisabiliti analisis ya hii fursa
Nili replay tayar Pia Tuwasiliane Namba nimetoa Niko wazi Kujibu utakacho uliza ili uwezekujua Mfumo mzmaHii ndio muhimu kuliko zote
Mkuu mbona umeshafanya sehemy kubwa sana zaidi ya Milioni 12 hapo si upambane hiyo 3M mbona ndogo wako?inshort Biashara ya Uwakika Hii Ndio imenifikisha Hapo
Kutengeneza na Kumiliki Ofisi Yangu Hyo kwaatakae Wiwa Kupushi Nilipo ishia kwa kiasi cha milion 3 tukapiga kazi Na yeye atategeneza Faida Kubwa Kwa kile alichoingiza kwa hii Biashara
Apo Soko la uwakika
Tutauza
...Sembe,Dona
.....Pumba
...Mahindi Pia
Ziada ni kwamba Bdo Tutahudumia na Wateja Wa Kawaida wanao kuja na Mizigo yao hvo Mapato Hayo bdo yatatuinua zaid kwenye kukuza Biashara Ya Usindikaji na Kupambana kwa SOKO la Unga(Sembe) hvo Mwekezaji Kuona Pesa yake ipo salama aliyo wekeza na anaona Kutengenezwa kwa faida zaid ya alichowekeza Ahsanten Karibun Singida
Nadhani kaweka namna ya simu ili kwa ambae atakuwa interested amcheki wazungzPamoja na yote lakn hujasema unapatokana wapi
Weka vitu waz watu watembelee eneo lako wajionee wenyewe tuwaulize wanakifahamu historia yako ipoje
Hakuna pesa ya kujuana tu mtandon et uweke namba ya simu inatosha
Bongo partnership pasua kichwa sanaHapana Kulingana na nimetaja kiwango cha milion 3 tunawekeana Mkataba kwa kazi kwa miaka mi tatu Tayar Mwekezaj na yeye ametengeneza Faida zaid ya Hyo Milion Tatu Pia akipendezwa bdo anaweza kuongeza mkataba tukaendelea na kazi kwa kutengeneza faida zaid
Anhaa Sawa Kumbe n 12%
Yes kweny Marejesho Yao kila week apo ndo MchakaMchaka Wa Maana ngoj nione
Sasa kama shida yake ni milioni 3 si akachukue hata kausha damu ili aendelee kivyakevyake? Kuliko kuja kusumbua watu huku! Inaonekana huyu mwamba akifanikiwa kulipia huo umeme hachelewi kukutimua na kukurudishia ka hela kako!Nikisoma maneno yako between the lines we unahitaji mkopo ambao huna masharti ya ukishatimiza lengo lako umfukuze huyo mtu hakunaga Partnership ya Mkataba eti miaka miwili au mitatu hicho hakipo ni either unanunua part ya hisa zake au kampuni ili Liquidate unaongea easily kwa sababu kichwani hakuna unachokijua
Tapeli huyu siamini hata ndugu zake kama hawana hiyo 3m ya kumuazimaSasa kama shida yake ni milioni 3 si akachukue hata kausha damu ili aendelee kivyakevyake? Kuliko kuja kusumbua watu huku! Inaonekana huyu mwamba akifanikiwa kulipia huo umeme hachelewi kukutimua na kukurudishia ka hela kako!
Sasa watuu wataweka details zote hapa? Terms ni kati yake yeye na mwekezaji ambaye atakuwa yuko tayari, watakaa chini watajadili namna nzuri ya kufanya.Anaraisisha vitu alafu baadae watu wanaanza kulogana kisa biashara imesimama mswahili akawii kusahau wap ametoka
Nadhani kaweka namna ya simu ili kwa ambae atakuwa interested amcheki wazungz
Bongo partnership pasua kichwa sana
All the best
Sasa watuu wataweka details zote hapa? Terms ni kati yake yeye na mwekezaji ambaye atakuwa yuko tayari, watakaa chini watajadili namna nzuri ya kufanya.
Ahsante Kwa Kufikiria hvoTapeli huyu siamini hata ndugu zake kama hawana hiyo 3m ya kumuazima
Sasa kama shida yake ni milioni 3 si akachukue hata kausha damu ili aendelee kivyakevyake? Kuliko kuja kusumbua watu huku! Inaonekana huyu mwamba akifanikiwa kulipia huo umeme hachelewi kukutimua na kukurudishia ka hela kako!
Kwa uongeaji wake huyu sio tapeli sema tu ameumiza kichwa na uwezo wake wa kujiongeza umeishia hapo ndio maana akaona njia salama kwake ni kumpata mtu ambaye watashirikiana.Tapeli huyu siamini hata ndugu zake kama hawana hiyo 3m ya kumuazima
Kwa uongeaji wake huyu sio tapeli sema tu ameumiza kichwa na uwezo wake wa kujiongeza umeishia hapo ndio maana akaona njia salama kwake ni kumpata mtu ambaye watashirikiana.
Ndio hivyo ndugu yangu nimeshakuscan na kukuzoom kuanzia akili yako hadi moyo wako.Upo Sahihi Kabsa🙏
Kwa uongeaji wake huyu sio tapeli sema tu ameumiza kichwa na uwezo wake wa kujiongeza umeishia hapo ndio maana akaona njia salama kwake ni kumpata mtu ambaye watashirikiana.
Ndio hivyo ndugu yangu nimeshakuscan na kukuzoom kuanzia akili yako hadi moyo wako.
Wewe ni aina ya watu fulani hivi ambao sio wabinafsi hupenda kushirikiana na watu wengine kwenye mambo ya kijamii.
Ni watu wanaojihami kutofanya makosa na hofu ya maisha ya mbeleni.
Ni aina ya watu fulani hivi wenye moyo safi na wasiopenda kumkwaza mtu bila sababu.
Kama nimeongopa uniambie
ukiachana huo mradi unajihusisha na biashara gani nyingine?Upo Sahihi Kabsa
Ni kwel yaan me Sio Mbinafsi napenda kushirikian zaid kwa MOYO saafi naamim kushirikian na mtu Ndio Daraja la Kujitengenezea watu Muhimu kweny maisha bila kumkwaza yeyote alie kuzunguk kweny utaftaj wa MAISHA Binafsi najion kijana nina Safar ndefu ya Kuyafikia mafanikio Siitaji Mamb meng kuharib BRAND nipo Kuitengeneza BRAND