Recent content by remmyakarro

  1. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Taja jina la nchi isiyokuwa na Herufi "A"

    Arusha
  2. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu ni kiboko, wameshapitisha sheria sasa wanarudi kufafanua nini? Amemwibua Comrade Kinana!

    Yawezekana anayekataa hoja za Lisu ni Mzanzibar, Mtanganyika yeyotr ataunga mkono
  3. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Masheikh wakiamua kuingiza siasa kila kipindi cha swala itakuwaje

    Mbona Kuna waaarabu wengi tu ambao ni wakristu?? Hapa tunachoongalia ni nchi yetu maslahi yetu urithi wetu.. Mimi mwenyewe sifajiliii Dini Sanaa zaidi ya kifajilia mama Tanzania
  4. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Vunjabei alikuwa na nafuu ila huyu Sandaland ni hovyo

    Jezi nzuriiiiiiiiii sanaaa Jezi Tano Bora kwa msumu huu unaenda kuanza mwaka huu ni.:- 1. Jezi ya Simba 2. Jezi ya singida big star 3.jezi ya azam 4 jezi ya Namungo 5. Jezi ya yanga
  5. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Maeneo yapi yana vibe kwa Iringa?

    Twiga bar Secret bar California bar La place Savanna bar Babloon bar Royal club, Na Kuna Moja uhindini
  6. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI: Baba yangu mzazi ana tabia ya kuwatongoza wasichana wa kazi nyumbani kwangu

    Wamama wa mitaani na magonjwa vipi hapo..?? Naona akili na busara sana vinahitajika ,
  7. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania NAOMBA USHAURI: Baba yangu mzazi ana tabia ya kuwatongoza wasichana wa kazi nyumbani kwangu

    Kwanza mshukuuru Mungu mzee yuko fitii na ananyoosha kama kawaida.. Kama hutaki haya yatokee mjengee pembeni rumu mbili tu akae.. na kama mama yuko hai mlete aje hapo.. utawzakusolve, lkn eti umwite umwambie aache kuwasumbua watoto wa kazi.., Sijui kama in African culture itawezekana, Angalia...
  8. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Vipi CHADEMA mna hali gani huko baada ya kifo cha Magufuli? Akina Halima Mdee wamefukuzwa ubunge? Tundu Lissu na Lema wamerudi Tanzania?

    Mindset za ukanda, udini, ukabila uchama ndio vitu vinatufanya tuonekane tulivyo.. Tuwe na mawazo tuliyonayo.. Tufanye haya tunanyofanya Na kuwa na mawazo haya tuliyonayo.. Naona ukikoment chochote achana na hayo mambo ..[emoji45][emoji45]
  9. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mkuu KCMC akiri KCMC kugubikwa na Ukabila, Udini na Mahaba

    Kumbe hata mwanza wachagga wanatishia amani, nyie mlichelewa wapi jamani, Mimi ni mnyambo...[emoji39][emoji39][emoji39]
  10. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi Mkuu KCMC akiri KCMC kugubikwa na Ukabila, Udini na Mahaba

    Wewe kabila gani ndgu
  11. remmyakarro

    JamiiForums Tanzania Kwanini Arusha huwa inahujumiwa makusudi?

    Mikoa yanayochangia Pato serikali Tz ni dar.. Arusha... Zanzibar.... Kilimanjaro..mikoa mingine inafuata, siijui
Back
Top Bottom