Recent content by relis

  1. relis

    RPC Singida Badilika, wape ushirikiano Waandishi wa Habari

    Ninavyokuona utakuwa muandishi kanjanja
  2. relis

    Jamani mfalme wa kuwait kafanya yake

    Huwajui vizuri wenye uislamu wao jiridhishe vizuri hapo ni uzee,au karukwa akili uislam haujajengwa katika matamanio ya nafsi
  3. relis

    Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?

    Ndio thamani yako ilipo baada ya hapo hakuna kitu,ili uweze kuzipata hamia kwingine
  4. relis

    TANESCO Dodoma kuweni wasikivu

    Habari ya wakati huu! Mimi ni miongoni mwa Raia mwema ninayepata huduma ya Umeme kupitia TANESCO maeneo ya Nzuguni A katika eneo la Mtaa wa Nunduru. Kutokana na utanukaji wa Jiji la Dodoma huduma ya Umeme imekuwa na changamoto kubwa ya low Voltage. Pindi Giza linapoingia umeme unakatika na...
  5. relis

    Kuna brand za nguo zilitikisa sana aisee!

    Mkuu kulikuwa na zile t-shirt kubwa unakuta Ina manamba makubwa na nyingine picha za za p Diddy 50cent waluguru wakiingia mjini ndio nguo zao Tena mwendo wa kudundika kama Wana spring za Benz kwenye miguu
  6. relis

    Hii kamata kamata kila mtaa inayofanywa na serikali iliyojiweka madarakani ya Samia nadhani wote mnaiona

    Kama ni Kwa Nia njema wakamatwe tu hata uhuni wa kibiti ulianza hivi hivi polisi wetu waliuawa ili sisi tuishi salama na wake zetu lkn hatuyaoni hayo,hili wimbi la watu wanajiita wanaharakati wa kuhamasisha vurugu na mitengano katika jamii si wa kuwachekea wapondwe vichwa vyao mpaka mtu wa...
  7. relis

    Nauza pikipiki Yamaha 300k

    Kwangu picha haifunguki wakuu hiyo Yamaha ndio zile zinazolia ndleee nde nde nde ndeeee na moshi kibao au
  8. relis

    Polisi acheni ujinga Leo mmepita hapa mtaani mnapiga risasi hovyo watu mmechanganyikiwa?

    Ndio maana Tanzania iliitwa kisiwa Cha amani sababu Kwa nchi za Afrika ndio nchi pekee mtu alikuwa anaweza kutoka Kona Moja ya nchi mpaka Kona nyingine bila kuhojiwa Wala document yoyote lkn sasa barabara kila sehemu vizuizi vya maswali walinzi na mabunduki maswali kibao kifupi kero acha...
  9. relis

    Niffer kaanza kuwa mweusi

    Naona mpaka tasbihi kaikumbuka ilayote kheri ndio wakati sahihi kumkumbuka muumba wake
  10. relis

    Tetesi: Polisi waliofanya mauaji ya Oktoba 29 wamepandishwa vyeo mara 2

    Kwa tunaoshikiwa ubongo tutavurugana sana nchi hii
  11. relis

    Je, Hili wimbi la masheikh linalohamasisha kuua watanzania wenzao lishughulikiwe vipi?

    Nafikiri na wao wameamka baada ya kukaa nyuma Kwa miaka mingi kukosa kujiingiza kwenye siasa kama wenzao wa makanisani wakiguswa interest zao matamko makanisani na kubadili upepo wa nchi sasa na misikiti nao wamechoka kuwa wanyonge Kisha chama tawala nao waamke wawaambie wanachama wao walinde...
  12. relis

    Hapo mlima Kitonga mbona kuna watu hawaeleweki aisee

    Kama wamekuacha itakuwa walinzi wa amani na Kwa kuwa amani tumeitibua wenyewe acha tuzoee maisha hayo nchi za wenzetu ni maisha ya kawaida kabisa
  13. relis

    Kufuatia vitisho vya Masheikh Kwa TEC, Sasa kama ni Mbwai Wacha iwe Mbwai , Hatutaruhusu UHAI WA KIONGOZI DINI UKRISTO KUGUSWA, 9 Dec ni Maandamano

    Hao mashehe si wapenzi wa Dunia kama sisi hawana hasara kumbuka ya kibiti wakiamua jambo tunapoteana,tuiombee amani
  14. relis

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    Naona wanaingia kwenye vituo Kwa kasi
  15. relis

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    Hivi Kwa dom tunaanzia wapi Niko barabarani na bango sioni mtu
Back
Top Bottom