Hilo ni jengo la wayahudi waislam Msikiti wao upo pembeni hauna likichuguu linalong'aa na hilo ndio tatizo tumeaminishwa hivyo kuwa ndio jengo la Msikiti ili siku Msikiti halisi ikivunjwa tuukatae bahati mbaya hatupotezwi
Ardhi wamepewa,nyumba wamepewa milioni 10 mkuu wa kaya kapewa wanataka Nini sasa,wasilete mambo ya hovyo wakirudi wapotezeni si lazima kuwa na wamasai wapumbavu wachache
Kwani mkuu Kila anayevaa kanzu ni Muislam? Usikalili Muislamu wa kweli hawezi kufanya unyanyasaji wa aina yoyote kinyume chake si Muislam rejea makundi ya kigaidi ni nani aliyeyaanzisha na ili iwaje,tambua waislam hatutendi uzuri ili utusifie ila ibaki uelewe soma misingi uuelewe usitangulizwe...
Mzee wangu huyu Hana baya Kwa kweli tumetangazia tangazo lake la maziwa tukapewa packet 2 za maziwa fresh imeisha hiyo anaingiza pesa kupitia watoto wa kimara baruti nikirudigi home mwanangu hujambo imeisha kwasasa maradhi umri umeenda pia
Unaposema fununu kwani hujui Mfadhili wa makundi ya kigaidi na kwanini yalianzishwa,au bado waamini kuwa ni waislam wenye itikadi Kali na je dhamira yao ilikuwa ni Nini hilo umejiuliza kingine katika Uislam haujaelekeza kwenda kuua nama walivyofanya Kwa misingi ya kidini,kisiasa au kijamii.
Ukafiri ni mzigo ktk maisha ya mwanadamu,Muislam haangaiki na kafiri ila kafiri wasiwasi kibao,Muislamu akijaribu kujinasua anaitwa gaidi Dunia nzima adui ni muislam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.