Ester Bulaya alitengenezwa CCM akiwa Mbunge wa Viti Maalumu kisha ndio akahamia Chadema akamuondoa rafiki yako Tyson/Wasira , aliyetengenezwa na Chadema ni Ester Matiko.
A
Mume wa Ndalichako simfahamu hivyo siwezi kumzungumzia ila Bw. Mathias Gwajima mume wa Dorothy Gwajima ni wakili, Dr. James Andilile wa Dr. Tulia Ackson ni Mkurugenzi wa Ewura (PhD holder) na Bw. Hafidh Ameir wa SSH ni Mfanyabiashara. Aliyekuambia kuwa hao Wanawake wana uchumi mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.