Recent content by reimah

  1. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Duh kuna mtu anafanya huko nilikua namuomba mwongozo kidooogo, anasema ukianza utalipwa 550 kwa miez mitatu km probation period, halaf ukiendelea utachukua laki saba kwa miezi mitatu mingine halaf baada ya hapo ni Million 1.2 kila mwezi Tofauti na hvyo kuna overtime ya elf 40 kwa jumamos km...
  2. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Bado kuna kile kipindi cha miezi mitatu kuangaliwa kama unaweza kazi au lah hyo naskia wanakupa 450 baada ya hapo kama umewaridhisha na utendaji wako wa kazi ndio wanakuajiri
  3. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Hapo ndo kuna shida afu naskia hua wanapitisha kisu kikali kutoka themanini hadi thelathini....hawa watu wana haja ya kubadilisha mfumo asee, mim nimewaza hadi nahis kuumwa na sina kazi kwa sasa cna budi kwenda kwa kweli
  4. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Gharama za ughaibuni unamaanisha nin mkuu
  5. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Tumeona.... Trh 9 arusha cjui hata pa Kufikia na ugeni huu, waliotangulia tusaidieni unafuu wa mahali pa kuishi kwa huo muda
  6. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Yaani its true ni kama bss, inshaalah tusubiri walisema ndani ya wiki mbili watakua wametu email
  7. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    au inawezekana hiyo slot imejaa em jiridhishe mapema mkuu ujue unafanyaje naona hizo slot zinajaa kama maji na naskia slot moja ni watu ishirini,,,
  8. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Hapo cjui kwa kweli mana mi nlivyoslot tuu nikaona jina langu kwenye session niliyochagua,,,jaribu kuangalia number zao hapo km unaweza kuwasiliana nao otherwise jiridhishe halafu uslot tena ila angalia usislot mahali ambapo watu wameshajaa tayar
  9. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Mmh mim hawajaniambia ivyo sasa sijui hapo na hutakiwi kuslot tena.... Wanaojua watujuze..
  10. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    haya guys angalieni emails zenu wameshatoa tareh n venue za interview, nackia ukichelewa kuselect unakuta zimejaa na ndo inaweza kua bas tena....tuendeleeni kupeana updates na miongozo ya interviews zinavyokua
  11. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Kwani wameishaita watu kwa ajili ya interview
  12. R

    Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Mimi nilifanya online wamenitumia jana kwamba watanicontact kwa ajili ya interview ila email nmeacknowledge leo baada ya kuiona, nackilizia Eeh Mungu nisaidie maisha magumu kitaa
  13. R

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Ahsanteni wadau...nazidi kupata mwanga ki ukweli..tuendelee kuchangia ili mwisho nione pa kuangukia
Back
Top Bottom