Tumsifu Yesu Kristo, Kristo, Miaka Mia na Hamsini ya Uinjilishaji, Pole kwa yaliyokukuta, nina maswali mengi najiuliza, lakini kwa kifupi sana, Je ulipopangiwa misa ya mfu, ulipeleka form ya Jumuia? na viongozi wako wa Jumuia waliipitisha( yaani je ilikuwa na saini ya Mwenyekiti na Katibu) jee...