Maendeleo watu hujiletea wenyewe kupitia miuondo mbinu wezeshi na rafiki na wakishaendelea uchangia maendeleo ya Taifa Kama kulipa Kodi vizuri na stahiki zitakazotumika kujenge miradi mikubwa Kama inayoendelea lakini tukianza mwisho ndiyo turudi nyuma yaani kwa wananchi Basi tutakuwa...
Kama serikali haiweki mazingira Bora hata ukeshe unatafuta utaambulia 0.648. $ Kama kipato chako cha siku convent hiyo kwa Tsh. Uone ilo pato linaweza kugharamia mahitaji gani kwa mtu kwa siku!? Siyo kuongea mradi wewe unasaini perdiem huko Lumumba?
Mbona tumeshuhudia ubaguzi mkubwa sana kipindi hiki Cha miaka 5 Tena yeye akijitapa kabisa kwamba hawasikilizi wabunge wa upinzani na wapiga filimbi wake watasema majukwaani kwamba hawatapeleka pesa za maendeleo kwenye majimbo ya upinzani ( kibajaj) inasemaje maendeleo hayana chama!?
Muwe mnapunguza viwango vya upumbafu maana ujinga uwa unatoweka, katika nchi inayoendeshwa kisheria inawezekanaje kukawa na vikundi vya kihuni Kama unavyodai na huku vyombo vya ulinzi na usalama vikiwepo waachiwe tu! Hili pori linaloitwa Tanzania tuko wote lichomeni tu Moto ukikolea na...
Chama kitu gani wewe kwa hiyo watu waendelee kutaharuki na nchi iangamie kwa kushindwa kusimamia haki kwanza anakiokoa kama uelewi chama kikichukua hatua na kubadilika nani atakiweza chama kikongwe kama ccm acha unazi nyie ndiona dhamira mbaya kwani hata raisi anahitaji washauri siyo mamangi meza!
Kisu ni kizuri kikatiwa nyama, nyanya, vitunguu na hoho lakini kikitumika kumchoma mtu mpaka akapoteza uhai ni tatizo hata jina ubadilika uitwa silaa , idara yetu kwa asili yake ni kusudi bora kabisa kuwepo ila matumizi ya siku hizi ndiyo yameleta sintofahamu embu wakubwa tumieni hekima kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.