TANZANIA KILA KITU KINAWEZEKANA. MBINU YA KIBIASHARA PIA INAWEZEKANA. KWA MTINDO HUU, HEBU TUPEWE TAARIFA ZA MIMEA YOTE AMBAYO NI HATARI, MIMEA NI MINGI INATUMIKA, WATUAMBIE WAMEGUNDUA MINGAPI NA INA MADHARA KIASI GANI. MAANA KAMA MMEA HUO UNA MADHARA BASI NA MIMEA MINGINE PIA KUNA KITU...
Kweli, DR. SLAA anakubalika na kumchafua inataka kazi watu kukuelewa. Mtajizungusha kweli humu ninyi wenyewe, ila jamaa anaeleweka mno, hakuna tusi humo ni lugha inayostahili mpotoshaji kama huyo/ kama hao, mtu makini huyo. Unajua nini, rahisi tu, zinaweza kusanywa lugha za ajabu na vitendo vya...
Mimi sijaona kama kuna lugha ya ajabu hapo. Nina shaka na wewe unaelaumu, inawezekana umejibiwa hoja yako vizuri sana bila kuacha shaka na hivyo umeona utafute suala jingine, baada ya kuhisi lengo lako limeshindwa. Kuwa mwaminifu nako kunasaidia, si lazima ushindane - kubali basi, ili uwe na...
Wengi mnafanya kwa unafiki, kwa kuwa m/unalipwa na m/unalinda kibarua, pia chagonja analinda ajira tu. Wengi wamechoka sana kwa sasa. Sasa hivi hata viongozi wa chama chenu wanafichua mipango yenu michafu kwa kuwa katika hali ya kawaida watu huchukia vitendo vya ajabu kama hayo mabomu yenu...
watanzania tuendelee kuhesabu vifo anavyosababisha, ipo siku atahukumiwa tu. Kweli mwigulu kwa sasa wewe ndiwe adui wa uhai wa watanzania na amani ya tanzania kwa ujumla.......
Kagame should also consider the rights of Hutu which in history have been plundered by Tutsi. At the same time he should not try to assume that all Rwandans and others around the World are living in dark, many of them understand the role of Kagame in the problem. He has to wait for a while to...
Sikutaka log-in kwa sasa, ila umenilazimisha kwa hii picha. Kaka, ina ujumbe mzuri mno, I wish hata wale walio nje ya JF waione, wangepata ujumbe huu mzuri.
kwa macho yangu kwenye picha naona:-
miaka ya 2000-
hao watu wanachukua pembe za ndovu kila moja ya kwake (chukua chako)..knn n.k...
Hivi hamjui wananchi wanataka nini eeh, unajua tembo akisafirishwa nje ya nchi kwa mwenye akili timamu inauma sana, huwa mnafikiria kitu kama hicho. Halafu mnajipanga kutetea ujinga. Msigwa endelea kusema watu wanaona.
such a fooooooool, what is aibu. Badala ya kutetea rasilimali za nchi yako unaacha zinachukuliwa na unaowatetea, halafu unajilazimisha kufikiri aibu kwa anayetetea. Kwa taarifa yako, wananchi si wajinga, ndio wahukumu, wait to see.
Mimi pia nafikiri hivyo. Lengo ni kuichafua CHADEMA kwa kuunganisha na matukio waliyoyatekeleza. Naendelea kusema, it will not work. CCM na timu zenu za mikakati ya KUIPANDISHA CCM kwa mgongo wa kuichafua CHADEMA mna ukatili mkubwa, mmefikia kuwa wanyama wa ajabu msiojali hata maisha na uhai...
Hapana Mkuu, hapa ndio kwetu. Waweza kwenda nchi nyingine lakini bado likitokea kama suala la Africa Kusini kufikiri wageni wanamaliza ajira kwao, bado utatamani kurudi hapa. Kubwa, tutetee mali zetu kwa namna inayowezekana. Haki yako iko hapa ndugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.