Recent content by regista

  1. R

    Mafuta ya ubuyu hatari kwa afya

    TANZANIA KILA KITU KINAWEZEKANA. MBINU YA KIBIASHARA PIA INAWEZEKANA. KWA MTINDO HUU, HEBU TUPEWE TAARIFA ZA MIMEA YOTE AMBAYO NI HATARI, MIMEA NI MINGI INATUMIKA, WATUAMBIE WAMEGUNDUA MINGAPI NA INA MADHARA KIASI GANI. MAANA KAMA MMEA HUO UNA MADHARA BASI NA MIMEA MINGINE PIA KUNA KITU...
  2. R

    Watanzania wakataa siasa za Mwigulu Nchemba

    PUMBAs------- baada ya mahindi kuchukuliwa
  3. R

    CHADEMA wametumia zaidi ya Milioni 950 Arusha

    Hivi M.b.u.n.g.e.se.r.u.k.am.b.a naye ni kijana na chadema eeh faki yu
  4. R

    Dr. Slaa, jitahidi kutumia lugha inayoendana na hadhi yako kama kiongozi wa umma

    Kweli, DR. SLAA anakubalika na kumchafua inataka kazi watu kukuelewa. Mtajizungusha kweli humu ninyi wenyewe, ila jamaa anaeleweka mno, hakuna tusi humo ni lugha inayostahili mpotoshaji kama huyo/ kama hao, mtu makini huyo. Unajua nini, rahisi tu, zinaweza kusanywa lugha za ajabu na vitendo vya...
  5. R

    Dr. Slaa, jitahidi kutumia lugha inayoendana na hadhi yako kama kiongozi wa umma

    Mimi sijaona kama kuna lugha ya ajabu hapo. Nina shaka na wewe unaelaumu, inawezekana umejibiwa hoja yako vizuri sana bila kuacha shaka na hivyo umeona utafute suala jingine, baada ya kuhisi lengo lako limeshindwa. Kuwa mwaminifu nako kunasaidia, si lazima ushindane - kubali basi, ili uwe na...
  6. R

    Hoja zisizopendwa na walinda amani wetu!

    Wengi mnafanya kwa unafiki, kwa kuwa m/unalipwa na m/unalinda kibarua, pia chagonja analinda ajira tu. Wengi wamechoka sana kwa sasa. Sasa hivi hata viongozi wa chama chenu wanafichua mipango yenu michafu kwa kuwa katika hali ya kawaida watu huchukia vitendo vya ajabu kama hayo mabomu yenu...
  7. R

    Ukweli kuhusu mlipuko wa Arusha na Mwigulu Nchemba,kwa manufaa ya Watanzania na Wana Arusha ni huu!

    hiyo bold, tafadhali, msijekuhamishia mada huko, maana hamtabiriki
  8. R

    Ukweli kuhusu mlipuko wa Arusha na Mwigulu Nchemba,kwa manufaa ya Watanzania na Wana Arusha ni huu!

    watanzania tuendelee kuhesabu vifo anavyosababisha, ipo siku atahukumiwa tu. Kweli mwigulu kwa sasa wewe ndiwe adui wa uhai wa watanzania na amani ya tanzania kwa ujumla.......
  9. R

    President Paul Kagame responds to Jakaya Kikwete on FDRL comments 'utter nonsense'

    Kagame should also consider the rights of Hutu which in history have been plundered by Tutsi. At the same time he should not try to assume that all Rwandans and others around the World are living in dark, many of them understand the role of Kagame in the problem. He has to wait for a while to...
  10. R

    Picha: Chukua chako mapema, Tanzania

    Sikutaka log-in kwa sasa, ila umenilazimisha kwa hii picha. Kaka, ina ujumbe mzuri mno, I wish hata wale walio nje ya JF waione, wangepata ujumbe huu mzuri. kwa macho yangu kwenye picha naona:- miaka ya 2000- hao watu wanachukua pembe za ndovu kila moja ya kwake (chukua chako)..knn n.k...
  11. R

    HOTUBA ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Maliasili na Utalii na Peter Msigwa (FULL TEXT)

    Hivi hamjui wananchi wanataka nini eeh, unajua tembo akisafirishwa nje ya nchi kwa mwenye akili timamu inauma sana, huwa mnafikiria kitu kama hicho. Halafu mnajipanga kutetea ujinga. Msigwa endelea kusema watu wanaona.
  12. R

    HOTUBA ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Maliasili na Utalii na Peter Msigwa (FULL TEXT)

    such a fooooooool, what is aibu. Badala ya kutetea rasilimali za nchi yako unaacha zinachukuliwa na unaowatetea, halafu unajilazimisha kufikiri aibu kwa anayetetea. Kwa taarifa yako, wananchi si wajinga, ndio wahukumu, wait to see.
  13. R

    Hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani itakayosomwa na Msigwa bungeni Aprili 30, 2013

    Ni kwa ajili ya Mwampamba na wachangiaji waliopangwa wachangia ki- Mwampamba, si kitu cha kuhangaikia hiki, hotuba yenyewe itasomwa.
  14. R

    Dr. Slaa anasa mikakati na njama za kukihusisha CHADEMA na kutekwa Kibanda

    Mimi pia nafikiri hivyo. Lengo ni kuichafua CHADEMA kwa kuunganisha na matukio waliyoyatekeleza. Naendelea kusema, it will not work. CCM na timu zenu za mikakati ya KUIPANDISHA CCM kwa mgongo wa kuichafua CHADEMA mna ukatili mkubwa, mmefikia kuwa wanyama wa ajabu msiojali hata maisha na uhai...
  15. R

    Msaada wa China: Haya ni baadhi tu ya masharti

    Hapana Mkuu, hapa ndio kwetu. Waweza kwenda nchi nyingine lakini bado likitokea kama suala la Africa Kusini kufikiri wageni wanamaliza ajira kwao, bado utatamani kurudi hapa. Kubwa, tutetee mali zetu kwa namna inayowezekana. Haki yako iko hapa ndugu.
Back
Top Bottom