Mke wake, nilikuwepo siku ya ndoa yao.Hao wanaondoka na pembe huyu mwanaume atakuwa KINAANA, je mwanamke ni nani, Salma nini au....
inauma sana sijui wajukuu zetu wata kuja kurisi nini
Mimi sitaacha JF yaani sijui kitokee kitu gani, yaani hii picha ni picha yangu ya mwaka tokea nijiunge na JF
huyu mwanamke atakua stela manyanya.