Upinzani ufe mara ngapi!???? Au umesahau uchaguzi uliopita mgombea wetu wa uraisi tulimuazima kutoka ccm na mgombea mwenza tulimuazima kutoka cuf, na msemaji wa chadema yetu akatoka nccr? Chezea gia za angani wewe!!!!!
Kabisa mkuu, natamani siku Dr slaa anarudi tumpokee airport port na huo uwe mwanzo wa kudai muda wetu, rasilmali zetu, nguvu zetu, hatuwezi kuporwa chama chetu pendwa tulichopigania na waroho wa pesa
Na alishiriki vikao vya kuwaumiza, Mungu awarehemu marehemu wote watatu waliopoteza maisha, kama wangejua aliyeshiriki kuwaumiza ataamia upande wao...... Sijui
Wewe ndo mwongo, kama Mtenvu aligawa yote hivyo mbona alipigwa chini na wana Temeke?!!! Watu wengi sisi wenye utimamu hatukuchagua mtu, tulichagua sera_ilani. Ilani ya Ukawa ilikuwa kwenye mtandao! Bibi yako wa uko kijijini anajua website? AMKA KIJANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.